Wasomi elimu isiwapumbaze mnapishana na fursa nyingi

Wasomi elimu isiwapumbaze mnapishana na fursa nyingi

Wewe ndio una wadudu kazi ya kubeba zege ni unskilled labour haihitaji ujuzi wowote,MTU haiwezi kutumia muda na resources kisha abebe zege.

Bora ungeniambia wasomi wajikisanye waishinikize Serikali kubali Sera za kiuchumi ninhekuelewa.
Lengo la huu uzi sio kuja kukuelewesha ww na upeo wako mdogo
Lengo ni kuwafungua akili zilizoganda graduate wengi
 
Mnashindwa kuweka mazingira ya kukuza uchumi na ukuaji wa sekta binafsi mnaishia kufanya ufisadi, halafu leo unakuja na kejeli kwa vijana wa kitanzania walioelemika na kukosa ajira ambao wamekuwa wahanga wa wizi wenu wa kulamba asali na kujipimia kwa urefu wa kamba na kuvimbewa matumbo utadhani mmebeba maputo, shwain!!​
Kama kulaumu ndo mnachoweza basi endeleeni kulaumu.
Acha wenye akili wajinasue kutoka limbi la umasikini
 
Nafkir hujamuelewa, hapo katoa mfano tuu, lakini kila mtu anaweza kuanza kidogo kidogo kulingana na taaluma yake, yani asisubiri mpaka apate ajira ,
Usimchukulie MTU mmoja angalia watu katika wingi wao,kila mwaka wanahitimu waku Katibu laki 1.unataka wote waanze umachinga.

Ajira zinatengenezwa na Serikali,Duniani kote ipo hivyo
 
Usimchukulie MTU mmoja angalia watu katika wingi wao,kila mwaka wanahitimu waku Katibu laki 1.unataka wote waanze umachinga.

Ajira zinatengenezwa na Serikali,Duniani kote ipo hivyo
Lakini pia Duniani kote hakuna nchi iliyoweza kuajiri wananchi wake wote.
 
Sio taifa lililofeli, wasomi wengine wanaajiriwa ila kama hujaajiriwa, tumia ule mwanga uliopata katika kujiongeza. Hakuna taifa linoloajiri wasomi wake wote duniani.
 
Sio taifa lililofeli, wasomi wengine wanaajiriwa ila kama hujaajiriwa, tumia ule mwanga uliopata katika kujiongeza. Hakuna taifa linoloajiri wasomi wake wote duniani.
Asante sana mkuu kwa huu ufafanuzi pengine watakuelewa
 
Mkipunguza kutupiga mizinga na kutia huruma ndo ntanyamaza
Lakini siwezi kuona tunaenda kuwa na taifa la hovyo kutokana na ufinyu wa mawazo ya tunao waita wasomi afu nkae kimya hilo halipo
Chuki zako na hao unaosema wasomi hazitakusadia chochote.
Hasira zako za kukosa fursa za kusoma usituletee hapa, walaumu wazazi wako au ilo bichwa lako kwa kushindwa kuelewa vitu ulivyokuwa unafundishwa darasani.
 
Chuki zako na hao unaosema wasomi hazitakusadia chochote.
Hasira zako za kukosa fursa za kusoma usituletee hapa, walaumu wazazi wako au ilo bichwa lako kwa kushindwa kuelewa vitu ulivyokuwa unafundishwa darasani.
We ni mjinga mno, Nenda Tiktok ukacheze na watoto wenzio ..Huku hupawezi
 
Nimewapa njia za kufikia fursa zilipo so ni jukumu lao kufuata hizo njia coz fursa zinatofautiana kulingana na mazingira
Hayo uliyoongea ni marudio, maneno matupu,
wenzako walileta fursa za Forex,
waliopata walipata ,waliokosa walikosa.
 
Hayo uliyoongea ni marudio, maneno matupu,
wenzako walileta fursa za Forex,
waliopata walipata ,waliokosa walikosa.
Kwako ni maneno matupu coz umezoea kulishwa kila kitu , huwezi kujitafutia huna tofauti na Broiler
 
Kama ndo ulivyoelewa hivyo basi una wadudu kichwani
Una matatizo ya akili kichwani K wewe, kwahiyo mimi nisomeshe mtoto mpaka Degree tena ya Udaktari then aje auze uji afu useme amejiongeza? We jamaa sio papai kweli? Hauliwi wewe?waste of time at a maximum level.

Lengo la ile elimu ni nini? Unapotoa hoja utumie akili kwa usahihi Chko wewe.
 
Back
Top Bottom