whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Kufanya lililo ndani ya uwezo wake ni matokeo ya system kufeli sio sifa, mtu akisoma maana yake afanye kazi field aliyosomeaNani kakwambia kua ni lazima mwanasheria alime mbogamboga au mhasibu afuge kuku
Hapa tunazungumzia afanye lililo ndani ya uwezo wake
Kufeli kwa serikali na ukosefu wa mitaji ndio sababu ya wasomi kuwa desperate