Wasomi elimu isiwapumbaze mnapishana na fursa nyingi

Wasomi elimu isiwapumbaze mnapishana na fursa nyingi

HR mtu mdogo sana, yaani HR wako so overated.

CEO, MDs and the likes kwa maana ya managers, wakikukubali au kukukataa huyo HR atafanya nini zaidi ya kupokea order tu ya kuku hire au kuku fire.
Oya we hujanielewa kabisa yaan still bado umekaza fuvu, nazungumzia mtu ambae hawezi kuonana na Manager na hamjui Manager au unafikiri Manager anajuana na kila mtu ovyo ovyo tu? Nimekwambia kuhusu HR sababu ushahidi ninao bila HR hupati kazi shikiria hapo na wanawala sana dada zenu
 
Umeeleza vyema sana. Unakutana na msomi anakuambia yeye hawezi fanya kazi nje ya alichosomea, anapiga teke fursa zinazomzunguka huku akiwa hana chochote afanyacho, umri unasogea+majukumu. Siku akija kushtuka anakua kashachelewa.

Kitu ambacho wasomi huweza kufanya mtaani ni kuilaumu serikali.
Kuna fursa gani au ndo wale mnaosema wajiajiri wakari mnazunguka kwenye viti?
 
Narudia tena, kuna dada mmoja alimaliza degree yake pale mlimani, badala ya kutembea na CV yake maofisini kuomba kazi, alifanya kazi ya kuuza uji wa ulezi. Anatembeza na chupa yake kubwa ya uji na kuuza uji na ucheshi mzuri. Sasa hivi amefungua saloon yake kwa kutumia kipato cha kuuza uji na mambo yake ni mazuri. Kazi ni kazi, ili mradi ujue kwa siku unaingiza ngapi.
Kwaiyo amesomea kazi ya kuuza uji?
 
Huna akili , kwa hiyo wewe kilaza na akili yako fupi kama mkia wa mbuzi unataka watu wawe wanasoma mpaka chuo kikuu halafu warudi kufanya kazi za kipumbavu kama hizo ? Tena wengi wamezoea hawa kwa pesa za serikali ,hizo pesa za walipa kodi si bora zingetumika kufanya vitu vya msingi ? ,Yaani mtu asome awe Engineer ,doctor , mwanasheria nk aje kuuza uji na kufanya usenge mwingine ,aisee ,kuna watu ni mataahira sana

Ninyi ngumbaru mna matatizo sana ya akili , huko kuuza uji na kufanya kazi za kipumbavu kama hizo kuna leta tija gani kiuchumi kwenye taifa ? , Pumbav , kauze uji na kutembeza chupi za wanawake mwenyewe , acha kupangia watu maisha
Eti mtu asome degree halafu atembeze chupa ya uji, si bora angeishia la saba?
 
Hataki kazi za kawaida..ye anatakaa kuwa muhasibu tu.tena serikalini..interview wanajazana kwa maelfu bila kujua wenye connection washapitishwa.
Kakomalia
Haelewi maskini
Wanatakaga kazi wanazoamini zinawapa heshima kitaa..!! Mbaya zaidi, hata kwenye biashara wapo hivyo hivyo..!! Kama watahisi biashara fulani haiwapi heshima WANAYODHANI wanastahili kuipata, hawataifanya. Wapo tayari kupata hasara kuliko kukosa heshima wanayodhani wataipata
 
Manager hana issue km HR akikutema, nazungumzia kwa wasiomjua Manager ni Nani shtuka
Braza umeamua kuchekesha umati.

Unajua maana ya top managers kwanza.

Yaani managing director akukubali au akukatae then HR akuteme au akukubali kinyume cha boss wake!!

Hiyo barua inaandikwa kwa nani?
 
La saba mna matatizo sana, mbona la saba wenzenu ambao hawajatoboa ni wengi pia? Mbona kutwa kuwaponda wasomi? Hata wewe mtoa maada si ajabu unalala sebureni kwa shemeji yako lkn maneno mengi kwa wasomi.
 
Braza umeamua kuchekesha umati.


Unajua maana ya top managers kwanza.


Yaani managing director akukubali au akukatae then HR akuteme au akukubali kinyume cha boss wake!!

Hiyo barua inaandikwa kwa nani?
Mkuu wewe ukiomba kazi barua yako hua unaandika kwenda kwa Nani Boss wa Kampuni au HR? Emu tuanzie hapo maana Leo nimekutana na fuvu jipya
 
Happy Easter to everyone,

Nimeguswa ku share haya machache kuhusu hili kundi kubwa la watu (Wasomi) ambalo ndo linaongoza kulalamika huku mitandaoni kuwa maisha magumu na wengine wakienda mbali zaidi kuwa serikali yetu haiwajali.

Nimefuatilia kwa ukaribu wasomi wengi, kitu kinachowakwamisha ni wao wenyewe kujiona wao ni tofauti na watu wengine kwenye jamii na wanastahili kupewa heshima kubwa.

Huu mtazamo wenu wasomi ndo unawafanya mnapishana na fursa nyingi kwakua lazima tukubali hakuna serikali duniani iliyoweza kuwaajiri watu wake wote , hivyo basi ukiwa kama msomi na umekosa ajira cha kwanza kabisa kubali kujishusha kuendana na mazingira halisi ya mtaani.

Elimu uliyo nayo isikufanye uzubae tuu jichanganye na watu wa mtaani walioanza ujasiriamali hata kama wanafanya kwa kiwango cha chini, kupitia kujichanganya kwako kutakuongezea maarifa ambayo huna.

Elimu uliyo nayo isikufanye kujiona kuwa wewe ni mtu wa hadhi ya juu, huku huna source yoyote ya kukuingizia kipato. Kama huna means yoyote ya kuingiza kipato basi ujue kuna vingi sana huvijui unapaswa ujifunze.

Elimu uliyo nayo itakusaidia tuu endapo utakubali kubadilika kutokana na mazingira lakini pia kukubali uhalisia wa mambo coz huku mtaani mambo ni tofauti sana na vile wasomi wanavyochukulia pindi wakiwa vyuoni.

Elimu ulionayo ukiongeza na maarifa kidogo tuu utakayoyapata pindi ukijichanganya na watu mtaani itakua na faida sana, kuliko kusubiri ajira.

Elimu uliyo nayo bila kuwa na pesa tambua fika hakuna atakayekupa heshima kama wengi wenu mlivo na mawazo hayo ya kijinga.

Kushinda mitandaoni na kulalamika kuwa ajira ngumu tuu bila kuchukua hatua zozote ni ujinga ambapo ni wa kuacha mara moja.

Tunawategemea sana kuja kuleta ukombozi mtaani kutokana na elimu mlioipata, ila hii hali ya kulaumu tuu serikali inatupa sana mashaka kuwa kuna uwezekano tuna wasomi ambao hawajaelimika.

La saba mna matatizo sana, mbona la saba wenzenu ambao hawajatoboa ni wengi pia? Mbona kutwa kuwaponda wasomi? Hata wewe mtoa maada si ajabu unalala sebureni kwa shemeji yako lkn maneno mengi kwa wasomi.
LY hawatambi kitaa..! Wasomi sasa, kutamba kila pahala
 
Manager hana issue km HR akikutema, nazungumzia kwa wasiomjua Manager ni Nani shtuka

Pitia ule uzi wa LinkedIn upate madini, Kuna mdau alikutana na Manager huko LinkedIn Manager akapenda figure na profile akachat nae akamwambia achat na kuongea na HR akampa namba ya HR, paap akapigwa interview fupi na HR moja kwa moja, baada ya hapo HR akamwambia atamcheck ndio ikawa atamcheck hakuna Manager aliemtafuta wala HR, bado fuvu limekaza au tulegeze nati ? HR akikutema Manager kibogoyo tu maana anaeajiri watu sio Manager ni HR

Labda unamaanisha mkuu wa idara, sio managing director.

Kwanza hatuna uhakika huyo aliyejiita manager huko LinkedIn ni managing director au mkuu wa idara tu.

Na wala hatujui hiyo kampuni organization structure yake ikoje.

Halafu interview ya wapi inafanywaga na HR tu?!


Anyways, mimi sio wa kujifunza hivyo vitu eti LinkedIn, niko kwenye hii industry for more than 10 years now.

Labda kama wewe ndio unatafuta first appointment ndio unadhani HR ni mtu mkubwa sana, huyo ni secretary aliyechangamka tu.
 
Labda unamaanisha mkuu wa idara, sio managing director.

Kwanza hatuna uhakika huyo aliyejiita manager huko LinkedIn ni managing director au mkuu wa idara tu.

Na wala hatujui hiyo kampuni organization structure yake ikoje.

Halafu interview ya wapi inafanywaga na HR tu?!


Anyways, mimi sio wa kujifunza hivyo vitu eti LinkedIn, niko kwenye hii industry for more than 10 years now.

Labda kama wewe ndio unatafuta first appointment ndio unadhani HR ni mtu mkubwa sana, huyo ni secretary aliyechangamka tu.
Sawa mkuu umeeleweka,
 
La saba mna matatizo sana, mbona la saba wenzenu ambao hawajatoboa ni wengi pia? Mbona kutwa kuwaponda wasomi? Hata wewe mtoa maada si ajabu unalala sebureni kwa shemeji yako lkn maneno mengi kwa wasomi.
Mimi pia nimesoma na nna degree lakini nlijiongeza mapema sana , sikubweteka eti kisa nna degree coz nlijua sio chochote kama ntashindwa kulipa bills
 
Wanatakaga kazi wanazoamini zinawapa heshima kitaa..!! Mbaya zaidi, hata kwenye biashara wapo hivyo hivyo..!! Kama watahisi biashara fulani haiwapi heshima WANAYODHANI wanastahili kuipata, hawataifanya. Wapo tayari kupata hasara kuliko kukosa heshima wanayodhani wataipata
Ni ujinga wa hali ya juu
 
Back
Top Bottom