Wasomi elimu isiwapumbaze mnapishana na fursa nyingi

Wasomi elimu isiwapumbaze mnapishana na fursa nyingi

Ulimbukeni haswa, matarajio yanawafanya wengi wasitimize na kuishi ndoto zao. Mtu anaona ni aibu kufanya kazi ya nguvu inayomuingizia 10K-15k ili hali hana chochote anachofanya. Na kauli zao "mimi msomi mzima bhana nna degree yangu siwezi kufanya kazi za nguvu".

Wengi wasichojua ni kuwa bills na mahitaji hayaitaji level yako ya elimu, yanahitaji pesa bila kujali imepatikana kwa njia gani.
Indeed , wanaleta swagger kwenye maisha, ubishoo na u sister duu wa kuchagua chagua ndo huwapeleka kwenye depression
 
Ulimbukeni haswa, matarajio yanawafanya wengi wasitimize na kuishi ndoto zao. Mtu anaona ni aibu kufanya kazi ya nguvu inayomuingizia 10K-15k ili hali hana chochote anachofanya. Na kauli zao "mimi msomi mzima bhana nna degree yangu siwezi kufanya kazi za nguvu".

Wengi wasichojua ni kuwa bills na mahitaji hayaitaji level yako ya elimu, yanahitaji pesa bila kujali imepatikana kwa njia gani.
Mkuu Kuna kitu kinaitwa UNYONYAJI kuna siku nikitulia nitaandika uzi nielezee, vijana wengi wanakumbana na hio situation bila msaada wowote wa watu wa Serikali hususani viwandani
 
Dah inasikitisha sana, mimi muda mwingine naona vijana kusoma mpaka huko juu ni kama wanawaharibu ubongo wao "Brainwashed" maana hawana maono wao maisha ni kazi wavae tai.[emoji16] ilikuwa zamani hio.
Wakija mtaani wakakutana na hali tofauti wanachanganyikiwa na kupata msongo wa mawazo , coz wana high expectation than reality
 
Baadhi wamejazana kule Tweeter wanajiita majobless sie wote tumesoma na tunalowa maoil, waje kitaa tupambanie goli, kwenye white colar walioitwa ni wengi wateule wachache
 
Baadhi wamejazana kule Tweeter wanajiita majobless sie wote tumesoma na tunalowa maoil, waje kitaa tupambanie goli, kwenye white colar walioitwa ni wengi wateule wachache
Nakubali mkuu [emoji817]
 
Ulimbukeni haswa, matarajio yanawafanya wengi wasitimize na kuishi ndoto zao. Mtu anaona ni aibu kufanya kazi ya nguvu inayomuingizia 10K-15k ili hali hana chochote anachofanya. Na kauli zao "mimi msomi mzima bhana nna degree yangu siwezi kufanya kazi za nguvu".

Wengi wasichojua ni kuwa bills na mahitaji hayaitaji level yako ya elimu, yanahitaji pesa bila kujali imepatikana kwa njia gani.
Huna akili , kwa hiyo wewe kilaza na akili yako fupi kama mkia wa mbuzi unataka watu wawe wanasoma mpaka chuo kikuu halafu warudi kufanya kazi za kipumbavu kama hizo ? Tena wengi wamezoea hawa kwa pesa za serikali ,hizo pesa za walipa kodi si bora zingetumika kufanya vitu vya msingi ? ,Yaani mtu asome awe Engineer ,doctor , mwanasheria nk aje kuuza uji na kufanya usenge mwingine ,aisee ,kuna watu ni mataahira sana

Ninyi ngumbaru mna matatizo sana ya akili , huko kuuza uji na kufanya kazi za kipumbavu kama hizo kuna leta tija gani kiuchumi kwenye taifa ? , Pumbav , kauze uji na kutembeza chupi za wanawake mwenyewe , acha kupangia watu maisha
 
Back
Top Bottom