Wasomi elimu isiwapumbaze mnapishana na fursa nyingi

Wasomi elimu isiwapumbaze mnapishana na fursa nyingi

Una matatizo ya akili kichwani K wewe, kwahiyo mimi nisomeshe mtoto mpaka Degree tena ya Udaktari then aje auze uji afu useme amejiongeza? We jamaa sio papai kweli? Hauliwi wewe?waste of time at a maximum level.

Lengo la ile elimu ni nini? Unapotoa hoja utumie akili kwa ushaihi Chko wewe.
We ndo unaliwa ...hutaki kujiongeza unasubir kila kitu kije chenyewe ukiendelea hvo lazima wahuni wapite na ww
 
We ndo unaliwa ...hutaki kujiongeza unasubir kila kitu kije chenyewe ukiendelea hvo lazima wahuni wapite na ww
Eleza hapa Injinia ajiongeze vipi? Auze pipi? We jamaa hautoumbwi lakini?
Hizi akili mnazitolea wapi? Kwahiyo msingi wa elimu hiyo utainufaishaje nchi? Kwann sasa wote wasisomee ujasiriamali?

We ni papai, Unaliwa wallah tena.
 
Eleza hapa Injinia ajiongeze vipi? Auze pipi? We jamaa hautoumbwi lakini?
Hizi akili mnazitolea wapi? Kwahiyo msingi wa elimu hiyo utainufaishaje nchi? Kwann sasa wote wasisomee ujasiriamali?

We ni papai, Unaliwa wallah tena.
We inaonekana unawashwa , Unahitaji kukunwa naona unatapa tapa sana , tafuta basha hapo ulipo
 
View attachment 2584059

Tuanze na hiyo hapo niliyo attach.

Mimi nitaandika kwenda kwa CENTRE MANAGER, wewe utaandika kwenda kwa HR?

Baada ya hapo ndiyo utajua kwamba wewe ni fuvu la aina gani 😁 😁 😁 😁
Mkuu hujanielewa Ila acha niache kukuelezea sana maana unajua masikini ndio hujieleza sana ili aonewe huruma yaan hata barua ya kazi au CV masikini alitakiwa kujaza mistari miwili au mitatu au Nusu paragraph atajaza paragraph 3/4 kumkomesha msomaji

Masikini Haelewi
 
Mkuu hujanielewa Ila acha niache kukuelezea sana maana unajua masikini ndio hujieleza sana ili aonewe huruma yaan hata barua ya kazi au CV masikini alitakiwa kujaza mistari miwili au mitatu au Nusu paragraph atajaza paragraph 3/4 kumkomesha msomaji

Masikini Haelewi

Unazidi kujichanganya tu,bora uchutame ..ni busara zaidi ya unavyojichoresha tu.

Yaani hata hujui kinachotakiwa kuandikwa kwenye barua ya kazi na CV, then utajua tofauti ya HR na Managing Director kweli?!

Mara maskini haelewi (too irrelevant).

Wewe ndio aina ile ile ya watu uliowatolea mfano (kina dada) wanaoliwa na ma HR wakidhani ni watu wakuuubwa kumbe ni ma secretary waliochangamka.


Anyways, usikwepe swali..kwenye hiyo attachment, utamwandikia Manager au HR?
 
We ni mjinga mno, Nenda Tiktok ukacheze na watoto wenzio ..Huku hupawezi
Acha ujuaji wa kijinga...
Hapo ulipo unajiona umeyapatia maisha hadi umejipa mamlaka ya kuwashauri wasomi wote Tanzania hii nini wafanye na kipi wasifanye
 
Wadasa la saba tunakula bata Sana nchi hii. Tunao wale masela na wenetu waliendaga machuo kipindi io sisi tupo kitaa tunapigwa na jua tunavuja jasho na bado pesa ni nyekundu tu. Saiv wako zao ndani wanajificha baada waje watulize raia tunatoboaje.
Elimu etu ya kibongo inamfundisha mtu kuwa mubinafsi maana kwenye pepa huruhusiwi kumuiga au kumuomba mwenzio majibu.
Uku mtaa ni ramani na connection tu
 
Acha ujuaji wa kijinga...
Hapo ulipo unajiona umeyapatia maisha hadi umejipa mamlaka ya kuwashauri wasomi wote Tanzania hii nini wafanye na kipi wasifanye
Ni ushauri tuu, maamuzi ni ya mtu binafsi
 
Wadasa la saba tunakula bata Sana nchi hii. Tunao wale masela na wenetu waliendaga machuo kipindi io sisi tupo kitaa tunapigwa na jua tunavuja jasho na bado pesa ni nyekundu tu. Saiv wako zao ndani wanajificha baada waje watulize raia tunatoboaje.
Elimu etu ya kibongo inamfundisha mtu kuwa mubinafsi maana kwenye pepa huruhusiwi kumuiga au kumuomba mwenzio majibu.
Uku mtaa ni ramani na connection tu
Dah we jamaa uko sahihi mnoo afu kichwani uko smart

Watachelewa sana kama hawatafanya maamuzi mapema
 
Neno fursa limetamalaki humu..
20230411_184423.jpg
 
Unazidi kujichanganya tu,bora uchutame ..ni busara zaidi ya unavyojichoresha tu.

Yaani hata hujui kinachotakiwa kuandikwa kwenye barua ya kazi na CV, then utajua tofauti ya HR na Managing Director kweli?!

Mara maskini haelewi (too irrelevant).

Wewe ndio aina ile ile ya watu uliowatolea mfano (kina dada) wanaoliwa na ma HR wakidhani ni watu wakuuubwa kumbe ni ma secretary waliochangamka.


Anyways, usikwepe swali..kwenye hiyo attachment, utamwandikia Manager au HR?
Masikini Haelewi

Mimi sina mengi ya kuelezea nilishamaliza kueleza,
 
Wadasa la saba tunakula bata Sana nchi hii. Tunao wale masela na wenetu waliendaga machuo kipindi io sisi tupo kitaa tunapigwa na jua tunavuja jasho na bado pesa ni nyekundu tu. Saiv wako zao ndani wanajificha baada waje watulize raia tunatoboaje.
Elimu etu ya kibongo inamfundisha mtu kuwa mubinafsi maana kwenye pepa huruhusiwi kumuiga au kumuomba mwenzio majibu.
Uku mtaa ni ramani na connection tu
Aah wapi...uchoyo uchoyo tu. Mbongo akupe connection anaumwa?? Hadi mmejitungia msemo 'ukiitwa kwenye fursa jua wewe ndio fursa'
 
Aah wapi...uchoyo uchoyo tu. Mbongo akupe connection anaumwa?? Hadi mmejitungia msemo 'ukiitwa kwenye fursa jua wewe ndio fursa'
Hapana sio kweli kuna mwamba tulikua hatujua kwa lolote nilimcheck DM akaniunga na issue moja kimasihara tu nilipiga hela NDEFU, na jamàa hakuniomba hata 100

Sometimes wewe ni dhahabu mchangani usiejitambua Ila unapoionyesha thamani wapo watakao kuthamini, usiishi kwa uoga jaribu thubutu fanya tena na tena, usiishi kwa kushikwa masikio na walioshindwa au kuishia kusikia story za barazani na kijiweni
 
Hapana sio kweli kuna mwamba tulikua hatujua kwa lolote nilimcheck DM akaniunga na issue moja kimasihara tu nilipiga hela NDEFU, na jamàa hakuniomba hata 100
To every general rule there's an exception
 
To every general rule there's an exception
Hio ni sheria inasema hilo nalitambua na naelewa kuhusu Quid-Pro-Quo Ila kila unapoamua kufanya kitu fanya km wewe na ufanye kwa nia thabiti bila kua na manung'uniko ya Ndani,
 
Back
Top Bottom