Wasomi hawa tulio nao vyuo vikuu, ni sawa?

Wasomi hawa tulio nao vyuo vikuu, ni sawa?

Matukio yote hayo huwa
yanaandaliwa na jopo la wanazuoni, mimi nazungumzia msukumo binafsi
walionao wasomi.

Ukiona wanafunzi wengi wanahudhuria kigoda cha Nyerere ujue wanafata
kifungua kinywa cha bure kama kipindi kile cha mwaka juzi.

Mkuu mi mbona nliwahi kuiwinda ile capachino nlishndwa nlikuta washakunywa....nikarud zangu Mabibo kulala
 
Mkuu mi mbona nliwahi kuiwinda ile capachino nlishndwa nlikuta washakunywa....nikarud zangu Mabibo kulala

Kuna moja tuliigonge Yombo 5, na msosi wa mchana ukapigwa Nkrumah kwa nje, mbona mugambo waliruka na kukanyagana?
 
Mkuu hilo nalo neno matokeo yake kila kitu huendeshwa kisanii maghorofa yana anguka kwa ujenz wa kisanii yaan!Tuombe..
 
Hapo ndo mtu unaweza kupima uelewa wa watanzania. Nakumbuka siku Kanumba alipofariki ni siku hiyo hiyo Profesa Mutta wa pale Geology UDSM alipofariki. Ila cha ajabu hata Mlimani TV inayomilikiwa na UDSMwalitumia muda wao mwingi kwenye taarifa ya habari kuongelea kifo cha Kanumba badala ya Prof ambaye ni part and parcel ya UDSM.Sasa hao ndo Watanzania wanaodhani kua tutapiga hatua kubwa ya kimaendeleo kwa kuweka msukumo mkubwa kwenye sanaa bila elimu ambayo kisingi hatuwezi fika popote

Nadhani tunapojaribu kuchangia hoja hii iliyo mbele yetu ni vema tukaelewa kwamba tunapokuwa (sisi au vyombo vya habari) tunaongelea habari za wenzetu walioaga dunia tunasukumwa sana na mchango wake kwa taifa na wala sio kiwango chake cha elimu aliyonayo, au mahali na taasisi anakofanya kazi. Nawaheshimu sana wasomi wetu ila si kweli kwamba wao ndio pekee wenye kutoa mchango kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu. Wapo watu wengi waliotoa mchango mkubwa kwa taifa letu na hawakuwa wasomi (Marehemu Kanumba ni mmoja wao kwani alitumia maarifa yake kama msanii kuajiri watu na kulitangaza taifa letu na pengine serikali yetu ingekuwa makini ingefaidika [pengine ilifaidika] kutokana na kodi ya mauzo ya rekodi zake nje na ndani ya nchi). Tusipumbazwe na degree au uprofesa wa hawa waitwao wasomi. Kwanza ukijaribu kuchambua kwa umakini watu wanaochangia kwa sehemu kubwa kuirudisha nyuma nchi yetu kimaendeleo ni hawahawa tunaowaita wasomi. Wakati mwingine nitaeleza kinagaubaga ni kwa namna gani wasomi hawa (sio wote, ila walio wengi) wanachangia sana ktk kudidimiza maendeleo ya nchi yetu.

Tukikaa tukidhani maendeleo yanaletwa na wasomi tu, tunajidanganya. Kwanza wasomi wetu wengi wana-frustrations kibao. Tusidanganye katika hili... Wapo wasanii wengi waliotoa mchango unaotukuka kwa taifa letu kuliko wasomi hawa ambao kwanza wakipata nafasi serikalini ndo wanakuwa wezi na mafisadi wa kutupwa kabisa. Angalia maprofesa na madaktari wetu wengi walioamua kuingia kwenye siasa na uchambue mchango gani wameutoa kwenye sekta zao kama sio kuleta migogoro na wakati mwingine ubabaishaji tu. Angalia sekta ya Elimu, angalia Ardhi na Nyumba/Makazi, Maji n.k. Hao wasomi waliosimamia sekta hizo wameleta tija gani tangu waingie????

Kwa msingi huo, mimi nawapongeza sana TV/Redio Mlimani kwa uzalendo waliouonesha kumpa heshima mtanzania mwenzetu aliyetutoka ila akaacha mengi ya kumkumbuka kuliko profesa anayekufa kwa jina tu "profesa". Haisaidii!
 
Then mwsho wa cku wanajiita wao ni bora kwa kipi hasa?
Wamebakiza jina2 medula zao hamna k2
 
Usiwe biased! Kanumba anamchango mkubwa japo kama si mfuatiliaji ni ngumu kuuona. Kwa kazi zake wengi wameajirika, wametoka, wamejulikana kimataifa na kuifanya ardhi yetu ikajulikana. Anamengi ya kusifiwa. Ni mfano wa kuigwa kwa kujiajiri.

eti nini? anamchango mkubwa! upi? kwa akili yako inamaana bila kanumba ardhi yetu haitajulikana?!! au unataka kuniambia hata wakoloni waliijua iliyokuwa TANGANYIKA kupitia Kanumba?. hapa hakuna llolote zaidi kuharibu watoto wetu hadi wanapokuwa madarasani shule na kwenye mitihani wanachokumbuka ni maneno na mistari ya wasanii mabwenyenye! hujani convince bado.
 
Nasikitika kusema kuwa mleta mada siyo mwana historia au siyo mfuatiliaji wa mambo au ni mshabiki wa hisia na siasa. Kila mwaka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam huadhimisha siku ya Prof. Haroub Othman na mara nyingi huandaliwa na UDASA, Kigoda cha Mwalimu Nyerere cha umajumui wa Afrika na Taasisi ya Taaluma za Maendeleo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Pia hao hao huandaaa maadhimisho ya Prof. Chachage S. Chachage na kuna mfuko maalumu ambao mpaka mwaka jana nilipohudhuria maadhimisho yake pale ukumbi wa ATB ulikua na takribani milioni 35. Sasa badala ya kusema Chachage unasema Chacha wangwe anaingiaje kwenye usomi?


Sijajua mtoa mada na wanaomshabikia wanakusudio gani dhidi ya usomi wanaoujua wao maana hata aliyeuliza ni wasomi wa chuo kipi hakupewa jibu. Jamani tujitafakari kabla ya kuzungumzia maswala ya elimu. Mh. Mbatia alishasema unapogusa swala la elimu au usomi lazima utambue unagusa jambo nyeti sana si kukurupuka mradi uonekane upo na unaijua elimu au we ndiyo msomi. Kimsingi wasomi wapo na walikuwapo na watendelea kuwapo. unaweza kumaliza madgree yote unayoyajua alau ukawa msomi ila hujaelemika. tafakari chukua hatua....
SAWA!! Lakini Kanumba anatija gani mpaka watu vyuoni watenge rasilimali muda kuadhimisha kifo chake?!!
 
Inaonekana akitokea mdau awaambie waache shule awalipe milioni kila mwezi wataacha hawa,kwa kuwa wana ndoto za kupata maisha bora kwa shotkat... Kuna usomi tena hapo?

umeonaeee!!!! wasomi uchwara!
 
Nadhani tunapojaribu kuchangia hoja hii iliyo mbele yetu ni vema tukaelewa kwamba tunapokuwa (sisi au vyombo vya habari) tunaongelea habari za wenzetu walioaga dunia tunasukumwa sana na mchango wake kwa taifa na wala sio kiwango chake cha elimu aliyonayo, au mahali na taasisi anakofanya kazi. Nawaheshimu sana wasomi wetu ila si kweli kwamba wao ndio pekee wenye kutoa mchango kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu. Wapo watu wengi waliotoa mchango mkubwa kwa taifa letu na hawakuwa wasomi (Marehemu Kanumba ni mmoja wao kwani alitumia maarifa yake kama msanii kuajiri watu na kulitangaza taifa letu na pengine serikali yetu ingekuwa makini ingefaidika [pengine ilifaidika] kutokana na kodi ya mauzo ya rekodi zake nje na ndani ya nchi). Tusipumbazwe na degree au uprofesa wa hawa waitwao wasomi. Kwanza ukijaribu kuchambua kwa umakini watu wanaochangia kwa sehemu kubwa kuirudisha nyuma nchi yetu kimaendeleo ni hawahawa tunaowaita wasomi. Wakati mwingine nitaeleza kinagaubaga ni kwa namna gani wasomi hawa (sio wote, ila walio wengi) wanachangia sana ktk kudidimiza maendeleo ya nchi yetu.

Tukikaa tukidhani maendeleo yanaletwa na wasomi tu, tunajidanganya. Kwanza wasomi wetu wengi wana-frustrations kibao. Tusidanganye katika hili... Wapo wasanii wengi waliotoa mchango unaotukuka kwa taifa letu kuliko wasomi hawa ambao kwanza wakipata nafasi serikalini ndo wanakuwa wezi na mafisadi wa kutupwa kabisa. Angalia maprofesa na madaktari wetu wengi walioamua kuingia kwenye siasa na uchambue mchango gani wameutoa kwenye sekta zao kama sio kuleta migogoro na wakati mwingine ubabaishaji tu. Angalia sekta ya Elimu, angalia Ardhi na Nyumba/Makazi, Maji n.k. Hao wasomi waliosimamia sekta hizo wameleta tija gani tangu waingie????

Kwa msingi huo, mimi nawapongeza sana TV/Redio Mlimani kwa uzalendo waliouonesha kumpa heshima mtanzania mwenzetu aliyetutoka ila akaacha mengi ya kumkumbuka kuliko profesa anayekufa kwa jina tu "profesa". Haisaidii!

A great thinker
 
Nadhani tunapojaribu kuchangia hoja hii iliyo mbele yetu ni vema tukaelewa kwamba tunapokuwa (sisi au vyombo vya habari) tunaongelea habari za wenzetu walioaga dunia tunasukumwa sana na mchango wake kwa taifa na wala sio kiwango chake cha elimu aliyonayo, au mahali na taasisi anakofanya kazi. Nawaheshimu sana wasomi wetu ila si kweli kwamba wao ndio pekee wenye kutoa mchango kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu. Wapo watu wengi waliotoa mchango mkubwa kwa taifa letu na hawakuwa wasomi (Marehemu Kanumba ni mmoja wao kwani alitumia maarifa yake kama msanii kuajiri watu na kulitangaza taifa letu na pengine serikali yetu ingekuwa makini ingefaidika [pengine ilifaidika] kutokana na kodi ya mauzo ya rekodi zake nje na ndani ya nchi). Tusipumbazwe na degree au uprofesa wa hawa waitwao wasomi. Kwanza ukijaribu kuchambua kwa umakini watu wanaochangia kwa sehemu kubwa kuirudisha nyuma nchi yetu kimaendeleo ni hawahawa tunaowaita wasomi. Wakati mwingine nitaeleza kinagaubaga ni kwa namna gani wasomi hawa (sio wote, ila walio wengi) wanachangia sana ktk kudidimiza maendeleo ya nchi yetu.

Tukikaa tukidhani maendeleo yanaletwa na wasomi tu, tunajidanganya. Kwanza wasomi wetu wengi wana-frustrations kibao. Tusidanganye katika hili... Wapo wasanii wengi waliotoa mchango unaotukuka kwa taifa letu kuliko wasomi hawa ambao kwanza wakipata nafasi serikalini ndo wanakuwa wezi na mafisadi wa kutupwa kabisa. Angalia maprofesa na madaktari wetu wengi walioamua kuingia kwenye siasa na uchambue mchango gani wameutoa kwenye sekta zao kama sio kuleta migogoro na wakati mwingine ubabaishaji tu. Angalia sekta ya Elimu, angalia Ardhi na Nyumba/Makazi, Maji n.k. Hao wasomi waliosimamia sekta hizo wameleta tija gani tangu waingie????

Kwa msingi huo, mimi nawapongeza sana TV/Redio Mlimani kwa uzalendo waliouonesha kumpa heshima mtanzania mwenzetu aliyetutoka ila akaacha mengi ya kumkumbuka kuliko profesa anayekufa kwa jina tu "profesa". Haisaidii!

Na ndio maana sijakurupuka kutaja wasomi tu, maaan hata Kikwete nae ana Ph.D (regardless ameipataje), nimetaja wasomi ambao walau wana mcahango wa maendeleo chanya kwa taifa.

Maadhimisho ya siku ya Kanumba yalikuwa powered na Clouds FM, wala sio utambuzi wa mchango wake, ndiposa hawa wasomi kama wanavyounga tela kwa kila kitu wakaunga tela na hili...
 
Baba yako Mama yako, mkeo mtoto wako wamekufa hata tarehe za kufa kwao hukumbuki lakini unamkumbuka kanumba,tuacha ulimbubeni
 
Hapo ndo mtu unaweza kupima uelewa wa watanzania. Nakumbuka siku Kanumba alipofariki ni siku hiyo hiyo Profesa Mutta wa pale Geology UDSM alipofariki. Ila cha ajabu hata Mlimani TV inayomilikiwa na UDSMwalitumia muda wao mwingi kwenye taarifa ya habari kuongelea kifo cha Kanumba badala ya Prof ambaye ni part and parcel ya UDSM.Sasa hao ndo Watanzania wanaodhani kua tutapiga hatua kubwa ya kimaendeleo kwa kuweka msukumo mkubwa kwenye sanaa bila elimu ambayo kisingi hatuwezi fika popote
Nadhani weledi wa mtu si hoja sana inapokuja kwenye coverage kwenye media zetu, ila nadhani umaarufu ni muhimu zaidi. Proresaz ni maarufu kwa wasomi wenzao, whereas wasanii ni maarufu kwa watu wote akiwemo hata mtoto wangu amabaye hata kindergatten hajaanza
 
Then mwsho wa cku wanajiita wao ni bora kwa kipi hasa?
Wamebakiza jina2 medula zao hamna k2

Hakika nakuambia, kama Mlimani a.k.a Chuo cha Taifa hali ni mbaya namna hii, basi huko kwenye vyuo vya kata hali ni mbaya mara dufu.
 
Back
Top Bottom