Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Kuna mambo yanakera na kuchukiza, hebu fikiri yaani mtu unaungwa kwenye group la Whatsapp bila taarifa, ukifuatilia purpose la group unaambiwa group la bwana nani eti kwa lengo la kuchangisha michango kwa ajili ya harusi x. Yaani inakera na kuchukiza, nyie wasomi wa kibongo hii nchi sasa si ya Kijamaa ni ya Kibepari.
Unatuomba michango sisi for what reason wakati kuoa unaoa wewe na mbususu unakula wewe? Chefuuu! Badilikeni aisee, mnakera na kuchukiza. Binafsi mimi harusi yangu marufuku mtu yoyote yule kuchangia aisee.
Unatuomba michango sisi for what reason wakati kuoa unaoa wewe na mbususu unakula wewe? Chefuuu! Badilikeni aisee, mnakera na kuchukiza. Binafsi mimi harusi yangu marufuku mtu yoyote yule kuchangia aisee.