Wasomi Tanzania wamejichokea kwa corona, Profesa mzima anajisifia kutokuvaa barakoa ili amfurahishe mkulu

Kuja JKIA 10pm uone mandege zikichukua mizigo,
Kq,ethiopian,british,etc
Nyinyi kandege kamoja kanachukua mzigoalafu inakuwa historia,
Ethiopian na kq kwanza inachukua chai Eldoret airport Kila siku from April,
Si Kila kitu ni siasa ndio president aonekane mini god
 
Eti China, ndio maana azma yenu ya Tz ya viwanda iliishia tu kwenye viwonder. Sasa hivi Kenya kuna viwanda
vinatengeneza barakoa(approved) zaidi ya 50,000 kwa shift moja tu.

Endeleeni tu kumeza propaganda za sisiemu, kwamba eti wakenya tumejifungia manyumbani na tupo under total lockdown.


Ventilator pia zinatengenezwa hapa hapa nchini Kenya. Nyie hata kuvumbua tu mashine ya kuboresha wazo lenu potovu la kujifukiza mmeshindwa. Mpo mpo tu mnapambana na nyungu kama Karumanzila. 😀
 
Hapo Kabudi alichemka..ukweli ni lazima tuukiri.
Ila pia nyie wasomi wa Kenya wameamua kuweka usomi wao kapuni na kuifuata Marekani matakoni kwa kila jambo kwenye hili suala la Corona. Hatuchekani jomba
Kenya imewahi ipatia marekani Rais. A man from Kogelo.
 
LOL Tanzania inatengeneza barakoa hata kabla ya Corona
 
The value of Kenya's fish exports have been rising annually. From $ 200 million in 2012 to kes 27 billion in 2017 when we exported 148,000 tonnes of fish produce.
You guys are always late to the game, where have you been all these years?
😂😂😂😂 yaani Tanzania tunatengeneza dawa ya 3 ya Corona sasa, ninyi bado mpo kwenye barakoa?

Unafikiri ni kwa nini hatuna wagonjwa mahospitalini? Akili za misukule ya wazungu wa kunyans hamuwezi kufika hapa

Angalia comments za ndugu zako wakiomba uraia wa Tanzania 😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Kenya ni nchi pekee hapa EAC ambayo haijitoshelezi kwa kila kitu. Vyombo vyenu vya habari ndio vimewajaza ujinga kuandika mambo ya kujisifu hata kama sio ukweli.

Wewe umeona wapi nchi yenye kuzalisha samaki 180,000 metric tones kwa mwaka, na mahitaji yake ni 500,000 metric tones, yaani bado inaupungufu wa 300,000metric tones, lakini hiyo nchi bado iwe na uwezo wa Ku export Samaki?, mbona hamfanyi hivyo katika mahindi?.

Kenya inapoteza millions of $ kwa mwaka kwa ajili ya kuagiza Samaki toka China, vipi tena iweze kuuza Samaki nje ya nchi?.
FACTSHEET: Why China’s fish is set to stay on Kenya’s menu | Africa Check


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kawadanganye wanigeria kwa kutumia vijarida vyenu vya Kibera. Mwaka Jana kulikua kidogo kutokee msuguano kati ya China na Kenya, baada ya Uhuru Kenyatta kutaka kuzuia Samaki toka China.

Kenya mnaimports fish, hamjajitisheleza katika uzalishaji wa Samaki, hadi sasa Samaki wanaozalishwa Kenya ni 45% ya mahitaji ya ndani ya nchi, iweje muweze kuuza Samaki nje ya nchi?. Huo ni uchumi gani unaozalisha chakula kwa ajili ya soko la nje wakati nchini mahitaji bado ni makubwa?

FACTSHEET: Why China’s fish is set to stay on Kenya’s menu | Africa Check

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyang'au unakumbuka lakini kufuata matakwa ya "Kinyata" na sayansi zake uchwara za curfew?

Nasikia huko Kinya corona inaambukiza usiku tu! [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Do not change the subject you said Kenya does not export fish. I gave you evidence that we export more fish than Tanzania and we have done so for decades.

Read the link on Kenyan fish exports fetch more money than we spend on imports.Do you ever read the evidence you always ask for?
 
Just in case you intentionally did not read it. Here is the link again. Read and learn then come and talk like a man. Kenya gets more money by exporting fish. The money we use to import fish is less than what we get by exporting.

Fish exports earn more than imports
 
Basi hvyo vyombo vyetu vya habari ukome kuvitumia km ushahidi[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani hujielewi kabisa, hvyo hvyo vyomba utakuja kuvitumia km ushahidi wako[emoji23][emoji23][emoji23]
Yani mpo desperate sana mazee[emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani hujielewi kabisa, hvyo hvyo vyomba utakuja kuvitumia km ushahidi wako[emoji23][emoji23][emoji23]
Yani mpo desperate sana mazee[emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
YAMEKWISHA:Tanzania, Kenya zakubaliana namna ya kupima madereva Corona

habarileo.co.tz17h

[https://res]

NCHI za Tanzania na Kenya zimeafikiana kuwa madereva watatakiwa kupimwa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona katika nchi zao na kupewa cheti maalum kitakachowatambulisha kutokuwa na maambukizi ambacho kitakuwa halali kwa siku 14 pekee.

Baada ya siku hizo kukamilika, madereva hao watalazimika kupimwa tena wakiwa nchini Kenya au Tanzania na endapo watagundulika, watarudishwa katika nchi zao.

Hayo yameelezwa leo na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isaac Kamwele leo, Ijumaa, mpakani Namanga baada kumalizika kikao kilichomjumuisha Waziri wa Uchukuzi wa Kenya, James Macharia.

Kukutana kwa mawaziri hao na hatimaye kufikia makubaliano hayo kumetokana na mazungumzo yaliyofanyika hivi karibuni kwa njia ya simu baina ya Rais John Magufuli na Uhuru Kenyatta wa Kenya.

Akiwa mkoani Singida, Rais Magufuli alibainisha kuwa wameshamaliza sintofahamu hiyo hivyo ilikuwa ni suala la watendaji wa serikali zote mbili kukutana.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo si msomi Mkuu aliokotwa jalalani😂😂 Msomi hawezi akaongea UPUUZI kama huo kuhusu ugonjwa ambao umeshaua zaidi wa watu 340K duniani na kuutikisa uchumi wa dunia kwa mtikisiko ambao haujawahi kutokea kwa zaidi ya karne sasa.

 
Huyo si msomi Mkuu aliokotwa jalalani[emoji23][emoji23] Msomi hawezi akaongea UPUUZI kama huo kuhusu ugonjwa ambao umeshaua zaidi wa watu 340K duniani na kuutikisa uchumi wa dunia kwa mtikisiko ambao haujawahi kutokea kwa zaidi ya karne sasa.
YAMEKWISHA:Tanzania, Kenya zakubaliana namna ya kupima madereva Corona

habarileo.co.tz17h

[https://res]

NCHI za Tanzania na Kenya zimeafikiana kuwa madereva watatakiwa kupimwa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona katika nchi zao na kupewa cheti maalum kitakachowatambulisha kutokuwa na maambukizi ambacho kitakuwa halali kwa siku 14 pekee.

Baada ya siku hizo kukamilika, madereva hao watalazimika kupimwa tena wakiwa nchini Kenya au Tanzania na endapo watagundulika, watarudishwa katika nchi zao.

Hayo yameelezwa leo na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isaac Kamwele leo, Ijumaa, mpakani Namanga baada kumalizika kikao kilichomjumuisha Waziri wa Uchukuzi wa Kenya, James Macharia.

Kukutana kwa mawaziri hao na hatimaye kufikia makubaliano hayo kumetokana na mazungumzo yaliyofanyika hivi karibuni kwa njia ya simu baina ya Rais John Magufuli na Uhuru Kenyatta wa Kenya.

Akiwa mkoani Singida, Rais Magufuli alibainisha kuwa wameshamaliza sintofahamu hiyo hivyo ilikuwa ni suala la watendaji wa serikali zote mbili kukutana.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo si msomi Mkuu aliokotwa jalalani😂😂 Msomi hawezi akaongea UPUUZI kama huo kuhusu ugonjwa ambao umeshaua zaidi wa watu 340K duniani na kuutikisa uchumi wa dunia kwa mtikisiko ambao haujawahi kutokea kwa zaidi ya karne sasa.

Sijui kwanini wasomi hujichokea wakishapewa nyadhifa, huyo jamaa kuna kipindi alikuja hapa Kenya akatoa hotuba nzuri sana kuhusu uongozi na demokrasia, yaani nondo, mpaka nikajikuta najiambia huyu akawa rais wa Tanzania mnaweza mkatoka kimasomaso, tatizo nadharia tupu maana alipovuka mpaka na kurudi huko kwenu akashusha kila kitu na kurudia hali yake ya awali.
Itazame hii video tulivyomshabikia huyo Kabudi....

 
ndege mbili Mwanza Airport! Ungetuambia Kisumu International Airport inapokea ndege zipi? can a dreamliner land there? forgetting the night flights!
 
Tatizo siyo wasomi ila tatizo ni mungu wa miungu bwana wa mabwana alfa na omega nani kama yeye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…