Wasomi wa karne hii ni vilaza, wanabebwa na vyeti vya chabo kuliko taaluma halisia

Wasomi wa karne hii ni vilaza, wanabebwa na vyeti vya chabo kuliko taaluma halisia

yuda75

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2020
Posts
520
Reaction score
1,385
Habarini wana JF,

Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.

Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.

Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au mouse ya laptop.

Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua

Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.

kuanda tu CV au kutuma application online ni kazi sana

Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?

Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.
 
Kujua computer ni muhimu ili kuendana na ulimwengu, lakini kutokujua sio dhambi. Mama alinunua tv mwaka 2000 ila mpaka sasa hajui kuunganisha nyaya.

Experience ndio hufanya MTU kujua vitu. Sawa kama hajawahi kuwa na hiyo computer atajulia wapi ivyo vitu? Labda kama anasoma computer.
 
Ndugu mleta mada uko sahihi kabisa maana siku hizi sijui Kuna shida gani ya vijana wetu wanao maliza masomo ya kozi mbali mbali ,unamkuta huyo anayeshindwa hayo mambo madogo ni graduate wa IT chuo kikubwa hapa nchini.
 
Watanzania wengi hawako serious ,unakuta mtu anataka kuwa mwanasiasa lakini hataki kujisomea kuongeza maarifa wala kujifunza kuongea vizuri mbele za watu! Haya unakuta mtu eti mwandishi wa habari,anavyotamka maneno hadi aibu! Bizaa ( bidhaa), arizi ( ardhi), mirasi (mirathi)! Nchi hii kuna watu wanatia sana aibu!
 
Chuo gani ambacho mwanafunzi aki graduate ndio anaenda Field ame-Graduate vipi na ajatimiza Course ya Field?

Jibu swali tafadhari
Wahitimu na waliopo vyuoni wote wanamatatizo
 
Back
Top Bottom