Wasomi wa karne hii ni vilaza, wanabebwa na vyeti vya chabo kuliko taaluma halisia

Wasomi wa karne hii ni vilaza, wanabebwa na vyeti vya chabo kuliko taaluma halisia

Kujua computer ni muhimu ili kuendana na ulimwengu, lakini kutokujua sio dhambi. Mama alinunua tv mwaka 2000 ila mpaka sasa hajui kuunganisha nyaya.. Experience ndio hufanya MTU kujua vitu.. Sawa kama hajawahi kuwa na hiyo computer atajulia wapi ivyo vitu? Labda kama anasoma computer..
Cheki utetezi😂😂😂 mwambie unajua kutumia simu basi hayo mengine hayakuhusu
 
Na swala la kuandika CV wengi linawashinda.

Wengine hata emails hawezi kutuma
 
Lugha unayotumia wewe na nani' unaongelea kitu hijui hata jina lake
Tuombeane mana kila mtuu anauelewa na utendaji wake ila wakwako upo kisisasa zaidi
 
Na swala la kuandika CV wengi linawashinda.

Wengine hata emails hawezi kutuma
kaka tuwaombeee cv sikuizi wanaandaliwa
mwingine ni graduate ata matumizi au kutuma maombi ya kazi online ni kwikwi
mwite interview uone wanavyo tetemekaaaaa

hawa ndo wale wanasubiria mjomba afanye mambo
 
Habarini wana JF,

Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.

Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.

Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au soft touch ya laptop.

Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua

Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.

Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?

Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.
huu mtindo wa kuwatukana graduate ambao ni jobless unaota mizizi nowadays hizi social media zimekuwa ni viwanja vya kuwa bulling haiwezekani kila mtu akijisikia tu anawashukia km mwewe..

hii sio nzuri kwa afya ya akili ya graduate na wale wa chini yao kama taifa hasa viongozi kemeeni hii tabia na sio nyie ndo kuwa wa kwanza kuwazomea vijana badala ya kuwaelekeza taratibu taratibu...

hivi mtu asome miaka zaidi ya 17 from standard 1 to university then awe mjinga mjinga hapana sio kweli..

hili taifa ni letu sote.
 
huu mtindo wa kuwatukana graduate ambao ni jobless unaota mizizi nowadays hizi social media zimekuwa ni viwanja vya kuwa bulling haiwezekani kila mtu akijisikia tu anawashukia km mwewe..

hii sio nzuri kwa afya ya akili ya graduate na wale wa chini yao kama taifa hasa viongozi kemeeni hii tabia na sio nyie ndo kuwa wa kwanza kuwazomea vijana badala ya kuwaelekeza taratibu taratibu...

hivi mtu asome miaka zaidi ya 17 from standard 1 to university then awe mjinga mjinga hapana sio kweli..

hili taifa ni letu sote.
kuwa uyaonee sijatukana graduate mkuu tena nawapongeza na nawapenda sana kwani ata mimi nilikuwa graduate

ila kuna baadhi ya graduate wamebweteka sana na hawapendi kujua vitu ambavyo kwao ni lazima wavijue
sasa kama umeitimu degree alafu kuanda CV hujui tunasemaje apo mkuu au unawatetea uku unajichumia dhambi
asemae ukweli huokoa wengi
 
Kila mtu ni kilaza kwa asicho kijua ila usije ukashindwa kufanya mambo ambayo umesomea miaka 3 chuoni ina maana hakuna ulicho ongeza hata usinge enda
 
kuwa uyaonee sijatukana graduate mkuu tena nawapongeza na nawapenda sana kwani ata mimi nilikuwa graduate

ila kuna baadhi ya graduate wamebweteka sana na hawapendi kujua vitu ambavyo kwao ni lazima wavijue
sasa kama umeitimu degree alafu kuanda CV hujui tunasemaje apo mkuu au unawatetea uku unajichumia dhambi
asemae ukweli huokoa wengi
Acha awatetee ila ninacho amini hajakitana nao hao wa aina unayosema wewe ila siku akiwakitana ata amini unayo yasema amini usiami wahitimu wetu Wana katisha tamaa
 
kuwa uyaonee sijatukana graduate mkuu tena nawapongeza na nawapenda sana kwani ata mimi nilikuwa graduate

ila kuna baadhi ya graduate wamebweteka sana na hawapendi kujua vitu ambavyo kwao ni lazima wavijue
sasa kama umeitimu degree alafu kuanda CV hujui tunasemaje apo mkuu au unawatetea uku unajichumia dhambi
asemae ukweli huokoa wengi
muelekeza sasa ili siku nyingine ajue sio kumsimanga..
 
Acha awatetee ila ninacho amini hajakitana nao hao wa aina unayosema wewe ila siku akiwakitana ata amini unayo yasema amini usiami wahitimu wetu Wana katisha tamaa
inaonekana na wewe ni graduate naona uwandishi wako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kumbe ndio tabia yako kama unatumia Browser uki-scrow chini utaona mada zinazofanana na hii nyingi kaandika jamaa
 
inaonekana na wewe ni graduate naona uwandishi wako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Typing error hizo mkuu hata document inayotoka kwa mkuru unakuwa nazo
 
Wewe si msomi hujui kila kitu watu hujifunza, hafu kutokujua computer haimaanishi mtu sio msomi, maana wao hawajasoma computer science ndio maana Kuna wataalamu wa IT. Wewe una wivu kwanza umeanza kuponda utanashati wao na kuponda kwanini usiwafundishe, wewe ni wa hovyo
 
huu mtindo wa kuwatukana graduate ambao ni jobless unaota mizizi nowadays hizi social media zimekuwa ni viwanja vya kuwa bulling haiwezekani kila mtu akijisikia tu anawashukia km mwewe..

hii sio nzuri kwa afya ya akili ya graduate na wale wa chini yao kama taifa hasa viongozi kemeeni hii tabia na sio nyie ndo kuwa wa kwanza kuwazomea vijana badala ya kuwaelekeza taratibu taratibu...

hivi mtu asome miaka zaidi ya 17 from standard 1 to university then awe mjinga mjinga hapana sio kweli..

hili taifa ni letu sote.
Naked Truth,mleta mada Katia chumvi kabisa
 
Back
Top Bottom