cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Nishafunguka zamani ndio maana sipendi kulaumu wengine kwa kutokujua maana maisha ni kujifunza na kusoma dailygod bless you asikufungue rohoni tu bali machoni na kichwani pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishafunguka zamani ndio maana sipendi kulaumu wengine kwa kutokujua maana maisha ni kujifunza na kusoma dailygod bless you asikufungue rohoni tu bali machoni na kichwani pia
Bisha unavovijua, usivyovijua ulizaChuoni hamnaga past paper wewe ukisoma secondary ndio Kuna past papers. Kuna ma prof nawajua hawajui excel, sasa washamgaa graduate
kama umeshafikia umri wa kuolewa olewa utazeekea nyumbaniWewe una uzamani sana CV aindaliwi bali ina editiwa kama uliwai kukaa chini na kuandaa CV from scratch wewe ni Zinjastropus huwezi kuwa Modern man na nina mashaka kama unajua Computer
Nijobless mkuu ,mouse yenyewe kashindwa kuandika ameedit.Na atakuwa kaishia la Saba au form four failure's ambao huwa vinara wa kuponda wasomi, yeye ku feli na ukilaza wake atakimbilia kuponda wengine waliofaulu, hajui kila mtu alijifunza kutoka kwa wengine. Hafu kumbe ni jobless
Ndio maana hajui kuitumia jomoniiii 😂 😂 😂Mouth tena!!
Hii nchi nahama.
Mkuu kajifunze kwanza kuandika. Sio ujaniletea[emoji777]acha kabisa tulia mkuu au niku pm ID kama kesho ujaniletea cv
we chenga kabisa computer vyuoni kunasomo maalumu kwa cozi zote labda wewe unatatizo mkuuNaomba ufute kauli yako ya kuwajumlisha wote kwa sababu zifuatazo:
Huenda labda chuo hicho hawana kozi ya IT
Wengine pia unakuta hana hata uwezo wa kumiliki PC kwa sababu mbalimbali za kiuchumi. Mtu kama huyu akiwa na assignment anatypia simu au anapeleka stationary.
Au unakuta wengine hawana intetest kabisa na mambo ya kutumia copmuter....nia ndo inapelekea mtu kujua kitu.
Naona unajisaliti mwenyewe....kwani hapo juu nimeongelea point moja tu?we chenga kabisa computer vyuoni kunasomo maalumu kwa cozi zote labda wewe unatatizo mkuu
😂😂😂😂😂😂mimi piaMouth tena!!
Hii nchi nahama.
Habarini wana JF,
Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.
Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.
Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au mouse ya laptop.
Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua
Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.
kuanda tu CV au kutuma application online ni kazi sana
Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?
Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.
Yaani kuna somo maalumu kwa Course zote' yaani unamaanisha Program kama za Education zinakuwa na Course kama 7 kila semester kwahiyo katika kila Course humo kuna somo la Computer huu mbona upupu umefika chuo kweli wewewe chenga kabisa computer vyuoni kunasomo maalumu kwa cozi zote labda wewe unatatizo mkuu
Usitafute sababu. Kubaliana na ukweli. Graduates wengi ni below standard. Halafu wanapenda maisha class ya juu kwa muda mfupi. Lobbing ya vyeo bila hata ya kuwa na uzoefu.Chuo gani ambacho mwanafunzi aki graduate ndio anaenda Field ame-Graduate vipi na ajatimiza Course ya Field ??
Jibu swali tafadhari
Watu wa kwanza kulaumiwa wawe PCCB, maana ndio waliokuja na ripoti ya "rushwa ya ngono vyuoni''. What is the aftermath?huu mtindo wa kuwatukana graduate ambao ni jobless unaota mizizi nowadays hizi social media zimekuwa ni viwanja vya kuwa bulling haiwezekani kila mtu akijisikia tu anawashukia km mwewe..
hii sio nzuri kwa afya ya akili ya graduate na wale wa chini yao kama taifa hasa viongozi kemeeni hii tabia na sio nyie ndo kuwa wa kwanza kuwazomea vijana badala ya kuwaelekeza taratibu taratibu...
hivi mtu asome miaka zaidi ya 17 from standard 1 to university then awe mjinga mjinga hapana sio kweli..
hili taifa ni letu sote.
Hatari anatafta umaarufu humu JF
Wa vyuo vya kata ndio mna past papersBisha unavovijua, usivyovijua uliza
Shida inawezakua ni matumizi mabaya ya computer, unakuta mtu ana laptop badala ya kujifunza zile programmes za kumsaidia ofisini anacheza gamea, anangalia movie, anatumia sana mitandao ya kijamii kwa mambo ambayo hayana tija na maswala ya masomo.Habarini wana JF,
Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.
Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.
Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au mouse ya laptop.
Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua
Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.
kuanda tu CV au kutuma application online ni kazi sana
Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?
Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.
Akijielezea kuhusu nini ?Binamu yangu alimaliza UDSM na GPA ya 3.7 Economics lakini hawezi kuandika essay akijielezea.