Wasomi wa karne hii ni vilaza, wanabebwa na vyeti vya chabo kuliko taaluma halisia

Wasomi wa karne hii ni vilaza, wanabebwa na vyeti vya chabo kuliko taaluma halisia

Habarini wana JF,

Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.

Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.

Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au mouse ya laptop.

Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua

Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.

kuanda tu CV au kutuma application online ni kazi sana

Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?

Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.
Mmmmm! Yaan kutokujua computer tu ndio wanakuwa vilaza? Kwel bado tuna safari ndefu
 
Wewe si msomi hujui kila kitu watu hujifunza, hafu kutokujua computer haimaanishi mtu sio msomi, maana wao hawajasoma computer science ndio maana Kuna wataalamu wa IT. Wewe una wivu kwanza umeanza kuponda utanashati wao na kuponda kwanini usiwafundishe, wewe ni wa hovyo
Sahihi kabisa.
 
Wa vyuo vya kata ndio mna past papers
Kwani PAST inamaanisha nini

Hakuna chuo kisichokuwa na pastpaper kama ulisoma chuo kisicho na pastpaper hiko sio chuo ni choo
 
Shida inawezakua ni matumizi mabaya ya computer, unakuta mtu ana laptop badala ya kujifunza zile programmes za kumsaidia ofisini anacheza gamea, anangalia movie, anatumia sana mitandao ya kijamii kwa mambo ambayo hayana tija na maswala ya masomo.
Hakuna mwanachuo anayemiliki Computer then hajui kutumia Office Program especially Word

Tuandike uharisia basi sio kuandikaandika Kama wapumbavu
 
Habarini wana JF,

Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.

Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.

Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au mouse ya laptop.

Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua

Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.

kuanda tu CV au kutuma application online ni kazi sana

Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?

Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.
Duh ni ajabu sana maana almost graduates wote wakiwa wana pursue degree zao assignments karibu zote wanazifanyia wenye computer, na wengi wana laptops zao za bei ya kariakoo. Kitu ambacho nakubaliana na wewe ni kwamba watu wengi wanashindwa kujaza online forms sijui kwanini.
 
Kwani PAST inamaanisha nini

Hakuna chuo kisichokuwa na pastpaper kama ulisoma chuo kisicho na pastpaper hiko sio chuo ni choo
Labda choo chenu mkuu. Chuo unapataje past papers, wakati mitihani ikiisha maswali hukusanywa, hvo vyuo vyenu vya uchochoroni ndo Kuna past papers
 
Hoja yako haijakaa vizuri. Ndo mana ata vyuo vinatoa miez miwili adi mitatu wanafunz waende kijifunza waliyosoma kwa vitendo(field).

Mwanafunz aliyetoka chuo ambaye ajawa experience ya kaz ndo Mara ya kwanza kuwa ofisn kwanza atakuwa na uwoga flan kazin kabla hajazoea, kingine hawez kujua kila kitu kinavofanyika ndo mana hupuwa msimamiz wake(instructor), ambaye kazi yake kumwelekeza na kumsaidia anapokwama au akiwa na shida.

Field ni kwajili ya kujifunza na kupata uzoefu wa kazi. Ungefanya jambo la maana kama ungewasaidi pale wanapokwama..
 
Habarini wana JF,

Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.

Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.

Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au mouse ya laptop.

Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua

Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.

kuanda tu CV au kutuma application online ni kazi sana

Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?

Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.
Kwahyo babu we unaona haya maisha umeyapatia sana sio? Vp ww unajua kila ktu hapa dunian ??and fact is, ulichosema wanaojua watakwambia n misguided reasoning kwan kutojua computer kuna prove mtu ni kiaz ama unataka kusemaje??
 
Habarini wana JF,

Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.

Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.

Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au mouse ya laptop.

Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua

Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.

kuanda tu CV au kutuma application online ni kazi sana

Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?

Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.
Sio hao tu unKuta anamiliki na laptop Ila anajua kucheza games za fifa na kuangalia movies tu ndo matumizi muhimu kwake.Wafuatilie tutorials ata youtube
 
Watanzania wengi hawako serious ,unakuta mtu anataka kuwa mwanasiasa lakini hataki kujisomea kuongeza maarifa
Hii ni mbaya sana mkuu. Kutopenda kusoma ni tatizo kubwa sana kwa watanzania wengi.

Kuna siku moja binamu yangu alinikuta ninasoma kitabu kimoja cha "hardcopy" akawa ananiuliza "sasa wewe unasoma nini wakati ulishamaliza chuo mwaka 2009"
 
Habarini wana JF,

Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.

Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.

Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au mouse ya laptop.

Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua

Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.

kuanda tu CV au kutuma application online ni kazi sana

Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?

Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.

IMG_2781.jpg
 
Back
Top Bottom