Past Paper zipo bibie.Chuoni hamnaga past paper wewe ukisoma secondary ndio Kuna past papers. Kuna ma prof nawajua hawajui excel, sasa washamgaa graduate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Past Paper zipo bibie.Chuoni hamnaga past paper wewe ukisoma secondary ndio Kuna past papers. Kuna ma prof nawajua hawajui excel, sasa washamgaa graduate
We ruka ruka ila ukweli ndo huo, unakariri past paper chuoni afu uje utambe na kujiita msomi!Wa vyuo vya kata ndio mna past papers
Mmmmm! Yaan kutokujua computer tu ndio wanakuwa vilaza? Kwel bado tuna safari ndefuHabarini wana JF,
Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.
Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.
Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au mouse ya laptop.
Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua
Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.
kuanda tu CV au kutuma application online ni kazi sana
Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?
Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.
Sahihi kabisa.Wewe si msomi hujui kila kitu watu hujifunza, hafu kutokujua computer haimaanishi mtu sio msomi, maana wao hawajasoma computer science ndio maana Kuna wataalamu wa IT. Wewe una wivu kwanza umeanza kuponda utanashati wao na kuponda kwanini usiwafundishe, wewe ni wa hovyo
Kwani usomi ni nini na msomi ni nani ?We ruka ruka ila ukweli ndo huo, unakariri past paper chuoni afu uje utambe na kujiita msomi!
Kwani PAST inamaanisha niniWa vyuo vya kata ndio mna past papers
Hakuna mwanachuo anayemiliki Computer then hajui kutumia Office Program especially WordShida inawezakua ni matumizi mabaya ya computer, unakuta mtu ana laptop badala ya kujifunza zile programmes za kumsaidia ofisini anacheza gamea, anangalia movie, anatumia sana mitandao ya kijamii kwa mambo ambayo hayana tija na maswala ya masomo.
Ndiyo Ukweli Wenyeweunafiki ni mbaya sana pia
Francis Apumzike Anasema SanaWatanzania unafki hatujaanza juzi wala jana
Kama haujawai kuSolve pastpaper chuoni unamtindio wa ubongoWe ruka ruka ila ukweli ndo huo, unakariri past paper chuoni afu uje utambe na kujiita msomi!
Duh ni ajabu sana maana almost graduates wote wakiwa wana pursue degree zao assignments karibu zote wanazifanyia wenye computer, na wengi wana laptops zao za bei ya kariakoo. Kitu ambacho nakubaliana na wewe ni kwamba watu wengi wanashindwa kujaza online forms sijui kwanini.Habarini wana JF,
Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.
Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.
Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au mouse ya laptop.
Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua
Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.
kuanda tu CV au kutuma application online ni kazi sana
Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?
Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.
Labda choo chenu mkuu. Chuo unapataje past papers, wakati mitihani ikiisha maswali hukusanywa, hvo vyuo vyenu vya uchochoroni ndo Kuna past papersKwani PAST inamaanisha nini
Hakuna chuo kisichokuwa na pastpaper kama ulisoma chuo kisicho na pastpaper hiko sio chuo ni choo
KWA chuo nilichosoma mtihani ukiisha mnakusanya papers za maswali ya UE. Na sijawahi ona zikizagaaPast Paper zipo bibie.
Kwahyo babu we unaona haya maisha umeyapatia sana sio? Vp ww unajua kila ktu hapa dunian ??and fact is, ulichosema wanaojua watakwambia n misguided reasoning kwan kutojua computer kuna prove mtu ni kiaz ama unataka kusemaje??Habarini wana JF,
Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.
Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.
Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au mouse ya laptop.
Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua
Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.
kuanda tu CV au kutuma application online ni kazi sana
Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?
Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.
Sio hao tu unKuta anamiliki na laptop Ila anajua kucheza games za fifa na kuangalia movies tu ndo matumizi muhimu kwake.Wafuatilie tutorials ata youtubeHabarini wana JF,
Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.
Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.
Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au mouse ya laptop.
Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua
Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.
kuanda tu CV au kutuma application online ni kazi sana
Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?
Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.
Hii ni mbaya sana mkuu. Kutopenda kusoma ni tatizo kubwa sana kwa watanzania wengi.Watanzania wengi hawako serious ,unakuta mtu anataka kuwa mwanasiasa lakini hataki kujisomea kuongeza maarifa
Habarini wana JF,
Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.
Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.
Vijana ni warembo na watanashati. Basi katika kuwaweka katika vitengo husika ili wajifunze utendaji, niliogopa vijana wa degree wanashindwa kuwasha computer, graduate hajui kutumia mouse ya computer au mouse ya laptop.
Graduate hajue MS Word, Excel vitu ambavyo ni rare na ni common kujua
Graduate awezi ku-type kitu na ku-save vizuri.
kuanda tu CV au kutuma application online ni kazi sana
Hali ni mbaya sana na sasa hivi interview kama za mabenki huwa mnafanya online kwa muda maalumu then una submit matokeo unapata. Hapo hapo je mtawezana na technolojia?
Naomba tuimbe wimbo wa taifa ubeti wa kwanza.