Wasomi wa kitanzania wanashindwa kwenda nje ya nchi kutafuta fursa mbalimbali kwasababu ya hivi vitu viwili(TOEFL na IELTS)

Wasomi wa kitanzania wanashindwa kwenda nje ya nchi kutafuta fursa mbalimbali kwasababu ya hivi vitu viwili(TOEFL na IELTS)

Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .

Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.

Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.

Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.

Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.

Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.

Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.

Black skin what is the problem?
Rafiki yangu hakuna kitu cha bure duniani na hakuna atakeyekuja kukubeba na kukupeleka katika mafanikio. Kuhusu hio Toefl imewekwa hivyo ili wachahche wenye uwezo wafike huko nje. Kuna watu wamefanya kazi na wakaonekana wanajua kazi wakalipiwa hio mitihani na NGO. Komaa na ujilipie wewe mwenyewe hayo ndo maisha ukisema usubiri utakuta mwana si wako. Usipoangalia utakuja kusema huku serikali inabidi ikulipie na nauli ya ndege kwenda abroad. Wakenya wanasurvive na kufanya mambo makubwa huku nje kwa sababu ya mazingira yao. CCM inabidi iongeze shida kidogo ili watanzania tuwe na akili kama za wakenya aisee.
 
Rafiki yangu hakuna kitu cha bure duniani na hakuna atakeyekuja kukubeba na kukupeleka katika mafanikio. Kuhusu hio Toefl imewekwa hivyo ili wachahche wenye uwezo wafike huko nje. Kuna watu wamefanya kazi na wakaonekana wanajua kazi wakalipiwa hio mitihani na NGO. Komaa na ujilipie wewe mwenyewe hayo ndo maisha ukisema usubiri utakuta mwana si wako.
Nimekuta bodaboda kakoswakoswa na Lori maeneo ya TOT kala mwereka Nusu apasuliwe fuvu na hio ndio ajira pekee iliyobakia ROHO mkononi
 
Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .

Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.

Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.

Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.

Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.

Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.

Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.

Black skin what is the problem?
IELTS-Hii huduma hutolewa na British Council iliyopo chini ya Serikali ya Uingereza kupitia Balozi zake zilizopo ktk nchi mbalimbali hapa duniani.
TOEFL-Hii huduma ipo chini ya Serikali ya Marekani, nayo hutolewa na Mawakala wake ambao unaratibiwa kwa karibu sana na Ofisi za Ubalozi za nchi hiyo.
TOEFL na IELTS Certificates ziahitajika zaidi kwa malengo ya Ufadhili na Udahili ktk vyuo vikuu vya huko nje ambavyo hutumia Kiingereza kama lugha ya kufundishia. Vipo baadhi ya vyuo vichache ambavyo havihitaji vyeti vya IELTS au TOEFL.
Ili kuepuka changamoto ya kutakiwa kuwasilisha cheti cha IELTS au TOEFL kwa wahitajil kutoka hapa Tz, Serikali inapaswa kukifanya Kiingereza kuwa ni Lugha ya kufundishia na kujifunzia ktk mfumo wote wa elimu hapa nchini kuanzia madarasa ya Chekechea hadi Vyuo Vikuu. Kiswahili kiwe ni somo tu linalojitegemea.
Aidha Vyeti vya IELTS na TOEFL uhai wake ni miaka miwili tu ( sijui kama utaratibu huu umebadilika kwa sasa), ili kuepuka kufanya mitihani ya kozi hiZo kila baada ya miaka 2, nawashauri Watanzania kusoma Kozi ya Kiingereza ya Level ya juu (Advanced English Course, angalau kwa Level ya C1) ili upate cheti ambacho kinatambulika duniani kote, na cheti hiki utakitumia ktk maisha yako yote mpaka kifo.
 
Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .

Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.

Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.

Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.

Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.

Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.

Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.

Black skin what is the problem?
Kwanza mwenyewe unajuta kuzaliwa tanzania alafu unataka watu wakusikilize na kukuelewa ????😂😂😂😂😂😂😂bas nenda kawashauri uko ulipotaka uzaliwe aaisee
 
Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .

Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.

Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.

Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.

Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.

Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.

Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.

Black skin what is the problem?
Kwanini unadai mazingira bora scholarship badala ya kudai vyuo vilete wanataaluma toka nje ili hata watoto wa masikini wasioweza kwenda nje wapate elimu hiyo inayopatikana nje?
 
Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .

Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.

Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.

Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.

Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.

Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.

Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.

Black skin what is the problem?

Sahihi kabisa kwa wale wataka kwenda kwa lengo la kusoma.. lazima upate certification ya English proficiency.
 
Tatizo natumia akili kubwa kuongea na watu ambai wana IQ underevarage line..watanzania wanajulikana Duniani kote kuwa ni weak interm of mind..na reasons capacity ipo very low..hivyo wewe unasuffer from this disease..unahitaji ukombozi wa kiimani kwasababu akili tayari haipo


Ukiwa na hela u can go to any country kusoma, tatizo ni hela tu, hakuna kingine.
 
Back
Top Bottom