bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Una GUBU LA HATARI.
Rafiki yangu hakuna kitu cha bure duniani na hakuna atakeyekuja kukubeba na kukupeleka katika mafanikio. Kuhusu hio Toefl imewekwa hivyo ili wachahche wenye uwezo wafike huko nje. Kuna watu wamefanya kazi na wakaonekana wanajua kazi wakalipiwa hio mitihani na NGO. Komaa na ujilipie wewe mwenyewe hayo ndo maisha ukisema usubiri utakuta mwana si wako. Usipoangalia utakuja kusema huku serikali inabidi ikulipie na nauli ya ndege kwenda abroad. Wakenya wanasurvive na kufanya mambo makubwa huku nje kwa sababu ya mazingira yao. CCM inabidi iongeze shida kidogo ili watanzania tuwe na akili kama za wakenya aisee.Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .
Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.
Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.
Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.
Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.
Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.
Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.
Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.
Black skin what is the problem?
Hapa nimekuelewa sana mkuu kweli una akili kubwa true meaning of great thinker.makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.
Tatizo natumia akili kubwa kuongea na watu ambai wana IQ underevarage line..watanzania wanajulikana Duniani kote kuwa ni weak interm of mind..na reasons capacity ipo very low.
Gubu lako sio la nchi hii.Mkuu, na wewe unasubiri uletewe TOEFL ghetto?
Nimekuta bodaboda kakoswakoswa na Lori maeneo ya TOT kala mwereka Nusu apasuliwe fuvu na hio ndio ajira pekee iliyobakia ROHO mkononiRafiki yangu hakuna kitu cha bure duniani na hakuna atakeyekuja kukubeba na kukupeleka katika mafanikio. Kuhusu hio Toefl imewekwa hivyo ili wachahche wenye uwezo wafike huko nje. Kuna watu wamefanya kazi na wakaonekana wanajua kazi wakalipiwa hio mitihani na NGO. Komaa na ujilipie wewe mwenyewe hayo ndo maisha ukisema usubiri utakuta mwana si wako.
Gubu lako sio la nchi hii.
Kiunoni umevaa matunguli mangapi?Nasubiri bunge lipitishe TOEFL itolewe kila kata. Until then ndo nitaenda nje. Ni haki yangu TOEFL kutolewa kila kata.
IELTS-Hii huduma hutolewa na British Council iliyopo chini ya Serikali ya Uingereza kupitia Balozi zake zilizopo ktk nchi mbalimbali hapa duniani.Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .
Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.
Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.
Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.
Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.
Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.
Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.
Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.
Black skin what is the problem?
Kwanza mwenyewe unajuta kuzaliwa tanzania alafu unataka watu wakusikilize na kukuelewa ????πππππππbas nenda kawashauri uko ulipotaka uzaliwe aaiseeHapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .
Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.
Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.
Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.
Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.
Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.
Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.
Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.
Black skin what is the problem?
Ukiambiwa msomi wa Google unakua mbogo. Natual jealous ndio kitu gani?Kinachokusumbua ni Africanism..natual jealous =poorest society.
Kwanini unadai mazingira bora scholarship badala ya kudai vyuo vilete wanataaluma toka nje ili hata watoto wa masikini wasioweza kwenda nje wapate elimu hiyo inayopatikana nje?Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .
Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.
Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.
Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.
Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.
Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.
Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.
Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.
Black skin what is the problem?
Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .
Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.
Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.
Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.
Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.
Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.
Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.
Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.
Black skin what is the problem?
Tatizo natumia akili kubwa kuongea na watu ambai wana IQ underevarage line..watanzania wanajulikana Duniani kote kuwa ni weak interm of mind..na reasons capacity ipo very low..hivyo wewe unasuffer from this disease..unahitaji ukombozi wa kiimani kwasababu akili tayari haipo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwel wewe ni bichwa komwe.Kiunoni umevaa matunguli mangapi?
Kwaiyo kama mtu ada ya kulipa kufanya mtihani kashindwa hiyo nauli atatoa wapi?Nimefanya utafiti ajua haitolewi na serikali ndio maana kuna sehemu nimependekeza serikali iweze kugharamia hizo ada kwa maslahi ya watu wake.