Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
UPUMBAVU MTUPU HUU, BENEFICIARY WA AYATI KAZI WANAYO!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nipo Tanzania, Hujiulizi kwanini JPM alipoondoka ndio TRA inakusanya Mapato makubwa zaidi kuliko JPM alivyowahi kukusanya.
Hakua na uzalendo wowote ule alikua opportunist na saddist tu aliyetamani kuona wenye nacho wanaporomoka. Hata aliowashughulikia ni wale tu alipokua na visasi nao na chuki kuona wamemzidi ushawishi.He was a PATRIOT! Huwezi kumfananisha na Hawa sasa wsmechangamka Kuwauzia Waarabu maliasili yetu!
Samia is signing contracts with the Arabs from UAE without understanding the ramifications of those contracts to the long term wellbeing of the country!!
Understanding the content of the contracts is of prime importance.
Tuna miaka miwili sasa hakuna barabara mpya licha ya ukusanyaji mkubwa kutoka TRA ya sasa, hiyo ni nini?Ndio nipo Tanzania, Hujiulizi kwanini JPM alipoondoka ndio TRA inakusanya Mapato makubwa zaidi kuliko JPM alivyowahi kukusanya.
Jamaa Aliua uchumi ila sababu wengi ni darasa la 7 mkijengewa SGR kwa mkopo na Bwawa la Nyerere kwa mkopo mnaona jamaa kafanya muujiza.
Niambie apart from miundombinu kwa fedha za mikopo alifanikiwa kitu Gani zaidi? Na usije ukaniambia sijui ufisadi maana ripoti ya CAG imeonyesha madudu yaliyotokea huku yeye akiwa Rais.
Ndio nimeyashuhudia, huku nakoishi hatukufanya uchaguzi kabisa kuanzia serikali za mitaa, udiwani na ubunge yaani walipita bila kupingwa. So hatukuwahi kuona kampeni kwenye kata yetu ila kwenye TV tu kwamba Kuna uchaguzi unaendelea!! Sasa mambo kama haya huyo Mmalawi anayajua?Wewe uliyashuhudia? Tofauti yako na hao wasomi wa malawi ipo wapi? Unataka kila kiongozi afanye upendavyo? Huo ni ubinafsi uliokithiri.
Jifunze kupongeza vitu vizuri binadamu wenzio wakivifanya na jifunze kukosoa bila kunajisi utu wa wenzio waliokosea.
Ufisadi huko CCM haujawahi kuisha tokea uhuru ila nyie mlidai JPM alizuia mianya ya ufisadi ndio maana Mapato yakapanda. Ndio nakuuliza Mama tunajua ni mpole, serikali imejaa ufisadi, mnadai pia watu wanakwepa Kodi Sasa jiulize kivipi makusanyo yawe makubwa kuliko ya JPM na JK? Means licha ya ufisadi ila uchumi umepanuka na ajira zimetengenezwa. Inaitwa Laffer's curve unaweza soma uelewe naongelea Nini.Tuna miaka miwili sasa hakuna barabara mpya licha ya ukusanyaji mkubwa kutoka TRA ya sasa, hiyo ni nini?
Uchumi unakufa wapi? hao wanataka kufanya partnership kama tu bandari ya Durban na Mombasa. Tatizo huwa ni jinsi mkataba unavyoandaliwa tu ila issue ya kushirikiana sio mpya, kwenye bandari mbona SGR mnajengewa kwa mkopo na Bado mkapangiwa mkandarasi ila hamkusema JPM kafilisika?Tunataka pia kubinafisisha Bandari zetu ili kujaribu kuokoa uchumi unaokufa, licha ya makusanyo makubwa unayosema
Sio kweli, hakuna serikali ilikua na Kodi kama ya JPM nadhani unakumbuka mpaka Online TV zikalipishwa million 1 kwa mwaka kusajiliwa. Hapo bado VAT ikawekwa kwenye utalii, Bado kukaletwa Kodi kwa wamachinga elfu 20 kwa mwaka, Bado bundle likaanzwa kukatwa tozo na TCRA since 2019 n.k hapo Bado mkaongeza Kodi kwenye saruji na mafuta.Tunatozo nyingi na kodi za ajabu kuliko wakati wowote ule, hizi pia huzioni kwamba zimeongeza hicho unachokiita ukusanyaji mkubwa wa pesa?
Wivu wa Nini Sasa kwani Mimi mwanasiasa au mgombea Urais? Ukweli lazima usemwe kwamba JPM was the worst president we've ever had in Tanzania and no Malawian can lecture us on the obvious facts.Kataa wivu ongeza wigo wa kuwakubali waliokuzidi na Mungu atakubariki
Useme huna utaalam wa kuandika! Siyo Kila mmoja anaweza kuandika kitabu, na sisi tutakuelewa - sababu siyo Kwa kubwa JPM siyo ndugu yako!Mimi siyo msomi lakini hata kama ningekuwa siwezi kufanya upuuzi wa namna hiyo.
Katika safari yangu ya kimaisha nina mashujaa ambao walikuwa watu wangu wa karibu (ndugu) walinifanyia mengi lkn sijawahi kuandika hata ukurasa mmoja kuwahusu wao ndo aje kuwa mtu asiye kuwa na undugu na mimi hata chembe!
Kuandika kwenyewe hujui, upumbavu utaujua mipaka yake? Ayati ndo niniUPUMBAVU MTUPU HUU, BENEFICIARY WA AYATI KAZI WANAYO!
Lete vya kwako ambavyo umemuandika.Useme huna utaalam wa kuandika! Siyo Kila mmoja anaweza kuandika kitabu, na sisi tutakuelewa - sababu siyo Kwa kubwa JPM siyo ndugu yako!