Wasomi wa SUA wanalisaidia nini Taifa?

Wasomi wa SUA wanalisaidia nini Taifa?

Ni muda muafaka sasa tujadili hizi taasisi zinatusaidia nini kama Taifa maana kila kukicha bei za vyakula ni juu hasa mafuta ya kupikia na Ngano, serikali inaingia garama kubwa kuwalipa mishahara minono waprofesa na wataalam wengine wa kilimo katika hizi taasisi lakini sijui wanamchango gani kwa Taifa hawa.

Mpaka sasa Mafuta ya kula tunaagiza Nnje ya nchi kitu ambacho kimefanya matuta yamepanda sio mchezo kile kipimo kidogo cha sh 200 kwa sasa ni 700 hadi 800, ndoo ya lita 20 kwa sasa ni 110,000 hadi 120,000

Na bado tunajivunia tuna Chuo cha wataalam kilimo na tuna wasomi wa kilimo sasa hawa watu wanalisaidiaje Taifa wakati vitu muhim kama mafuta ya kula tunaagiza nnje wakati tuna Ardhi ya kutosha kulima mawese na na mimea mingine ambayo itatuletea mafuta ya kututosheleza bila kuagiza nnje

Ngano imetoka 1200 kwa sasa ni 2000, sababu tunaagiza nnje na huko nnje vita ya urusi na Ukraine ni sababu moja wapo maana inasemekana wanazalisha ngano kwa kiasi kikubwa kwa sasa hawauzi popote kwasababu ya vita na vikwazo alivyowekewa Urusi

Ukiingia mtaani chapati na vitu vingine bie ni juu sababu mafuta na ngano vimepanda kwa kasi ya ajabu,yote hayo ni kwa sababu vitu vya muhim kama hivi tunaagiza nnje hatuzalishi sisi wenyewe kwa kiwango kikubwa na kututosheleza wakati uwezo tunao

Hivi wasomi wetu wa sua kwa Ardhi tuliyonayo hatuwezi kulima ngano ikatutosha bila kuagiza nnje? Tatizo ni nyie au ni Serikali haitoi bajeti kubwa kwenu

Sua mnalisaidia nini Taifa kama bado tunaagiza vitu muhim nnje na nyie wataalam wa kilimo mpo?
Wanapambania matumbo Yao
 
Ni muda muafaka sasa tujadili hizi taasisi zinatusaidia nini kama Taifa maana kila kukicha bei za vyakula ni juu hasa mafuta ya kupikia na Ngano, serikali inaingia garama kubwa kuwalipa mishahara minono waprofesa na wataalam wengine wa kilimo katika hizi taasisi lakini sijui wanamchango gani kwa Taifa hawa.

Mpaka sasa Mafuta ya kula tunaagiza Nnje ya nchi kitu ambacho kimefanya matuta yamepanda sio mchezo kile kipimo kidogo cha sh 200 kwa sasa ni 700 hadi 800, ndoo ya lita 20 kwa sasa ni 110,000 hadi 120,000

Na bado tunajivunia tuna Chuo cha wataalam kilimo na tuna wasomi wa kilimo sasa hawa watu wanalisaidiaje Taifa wakati vitu muhim kama mafuta ya kula tunaagiza nnje wakati tuna Ardhi ya kutosha kulima mawese na na mimea mingine ambayo itatuletea mafuta ya kututosheleza bila kuagiza nnje

Ngano imetoka 1200 kwa sasa ni 2000, sababu tunaagiza nnje na huko nnje vita ya urusi na Ukraine ni sababu moja wapo maana inasemekana wanazalisha ngano kwa kiasi kikubwa kwa sasa hawauzi popote kwasababu ya vita na vikwazo alivyowekewa Urusi

Ukiingia mtaani chapati na vitu vingine bie ni juu sababu mafuta na ngano vimepanda kwa kasi ya ajabu,yote hayo ni kwa sababu vitu vya muhim kama hivi tunaagiza nnje hatuzalishi sisi wenyewe kwa kiwango kikubwa na kututosheleza wakati uwezo tunao

Hivi wasomi wetu wa sua kwa Ardhi tuliyonayo hatuwezi kulima ngano ikatutosha bila kuagiza nnje? Tatizo ni nyie au ni Serikali haitoi bajeti kubwa kwenu

Sua mnalisaidia nini Taifa kama bado tunaagiza vitu muhim nnje na nyie wataalam wa kilimo mpo?
Malalamiko mengi uliyoongea yanatatuliwa kisera zaidi.
 
Binafsi ni mhitimu wa SUA BSc in Agricultural Engineering ila mpaka sasa sijalisaidia chochote taifa hili kupitia elimu hii niliyoipata.
Nipo kwenye mchakato wa kuangalia namna ya kulisaidia ila ngojeni kwanza nikomae kutafuta hela ya kula mtaani nikiipata ntarudi kulisaidia,maana ajira hazipo
 
Hakuna kitu hapo angekuja na hoja iliyojaa, alete takwimu za chuo chake kwanza, kimesaidia nini taifa? Bila hivyo huu utakuwa umbea tu, kwanza kuandika hajui.

Waprofesa ndiyo nini?

Garama ndiyo nini anaandika kwenye uzi wake.

Sua inafanya makubwa sana.
Kama makubwa si uyataje?
Ukijumlisha ngano pamoja na mafuta
 
Ni muda muafaka sasa tujadili hizi taasisi zinatusaidia nini kama Taifa maana kila kukicha bei za vyakula ni juu hasa mafuta ya kupikia na Ngano, serikali inaingia garama kubwa kuwalipa mishahara minono waprofesa na wataalam wengine wa kilimo katika hizi taasisi lakini sijui wanamchango gani kwa Taifa hawa.

Mpaka sasa Mafuta ya kula tunaagiza Nnje ya nchi kitu ambacho kimefanya matuta yamepanda sio mchezo kile kipimo kidogo cha sh 200 kwa sasa ni 700 hadi 800, ndoo ya lita 20 kwa sasa ni 110,000 hadi 120,000

Na bado tunajivunia tuna Chuo cha wataalam kilimo na tuna wasomi wa kilimo sasa hawa watu wanalisaidiaje Taifa wakati vitu muhim kama mafuta ya kula tunaagiza nnje wakati tuna Ardhi ya kutosha kulima mawese na na mimea mingine ambayo itatuletea mafuta ya kututosheleza bila kuagiza nnje

Ngano imetoka 1200 kwa sasa ni 2000, sababu tunaagiza nnje na huko nnje vita ya urusi na Ukraine ni sababu moja wapo maana inasemekana wanazalisha ngano kwa kiasi kikubwa kwa sasa hawauzi popote kwasababu ya vita na vikwazo alivyowekewa Urusi

Ukiingia mtaani chapati na vitu vingine bie ni juu sababu mafuta na ngano vimepanda kwa kasi ya ajabu,yote hayo ni kwa sababu vitu vya muhim kama hivi tunaagiza nnje hatuzalishi sisi wenyewe kwa kiwango kikubwa na kututosheleza wakati uwezo tunao

Hivi wasomi wetu wa sua kwa Ardhi tuliyonayo hatuwezi kulima ngano ikatutosha bila kuagiza nnje? Tatizo ni nyie au ni Serikali haitoi bajeti kubwa kwenu

Sua mnalisaidia nini Taifa kama bado tunaagiza vitu muhim nnje na nyie wataalam wa kilimo mpo?
Tatizo ni wasomi waliosoma Engineering UDSM wameshindwa kutengeneza hata Trekta moja kiasi kutufanya sisi tuosoma SUA kuendelea kulima kwa Jembe la mkono baada kumaliza chuo
 
Wasomi wa Kibongo ni sawa na Steve Nyerere tu....hawana weledi, wao kazi kupiga kelele tu ili wasikike lakini hawana lolote. Sijawahi sikia msomi wa UDSM au Muhimbili amefanya la maana hapa nchini zaidi ya kuongea broken English muda wote na kujifanya hajuwi lugha yake mama (Kiswahili).
 
Mtajiju, sisi tumepata GPA kali tunafundisha Vyuo, na leo tupo tunkula bata club, na salale i.etoka tangu juz,
Manyoko!
 
Ni muda muafaka sasa tujadili hizi taasisi zinatusaidia nini kama Taifa maana kila kukicha bei za vyakula ni juu hasa mafuta ya kupikia na Ngano, serikali inaingia garama kubwa kuwalipa mishahara minono waprofesa na wataalam wengine wa kilimo katika hizi taasisi lakini sijui wanamchango gani kwa Taifa hawa.

Mpaka sasa Mafuta ya kula tunaagiza Nnje ya nchi kitu ambacho kimefanya matuta yamepanda sio mchezo kile kipimo kidogo cha sh 200 kwa sasa ni 700 hadi 800, ndoo ya lita 20 kwa sasa ni 110,000 hadi 120,000

Na bado tunajivunia tuna Chuo cha wataalam kilimo na tuna wasomi wa kilimo sasa hawa watu wanalisaidiaje Taifa wakati vitu muhim kama mafuta ya kula tunaagiza nnje wakati tuna Ardhi ya kutosha kulima mawese na na mimea mingine ambayo itatuletea mafuta ya kututosheleza bila kuagiza nnje

Ngano imetoka 1200 kwa sasa ni 2000, sababu tunaagiza nnje na huko nnje vita ya urusi na Ukraine ni sababu moja wapo maana inasemekana wanazalisha ngano kwa kiasi kikubwa kwa sasa hawauzi popote kwasababu ya vita na vikwazo alivyowekewa Urusi

Ukiingia mtaani chapati na vitu vingine bie ni juu sababu mafuta na ngano vimepanda kwa kasi ya ajabu,yote hayo ni kwa sababu vitu vya muhim kama hivi tunaagiza nnje hatuzalishi sisi wenyewe kwa kiwango kikubwa na kututosheleza wakati uwezo tunao

Hivi wasomi wetu wa sua kwa Ardhi tuliyonayo hatuwezi kulima ngano ikatutosha bila kuagiza nnje? Tatizo ni nyie au ni Serikali haitoi bajeti kubwa kwenu

Sua mnalisaidia nini Taifa kama bado tunaagiza vitu muhim nnje na nyie wataalam wa kilimo mpo?
Wamekuwa wanafundisha kilimo Cha matikiti na maparachichi na vanilla wanasema zinalipa sana.
 
Ni muda muafaka sasa tujadili hizi taasisi zinatusaidia nini kama Taifa maana kila kukicha bei za vyakula ni juu hasa mafuta ya kupikia na Ngano, serikali inaingia garama kubwa kuwalipa mishahara minono waprofesa na wataalam wengine wa kilimo katika hizi taasisi lakini sijui wanamchango gani kwa Taifa hawa.

Mpaka sasa Mafuta ya kula tunaagiza Nnje ya nchi kitu ambacho kimefanya matuta yamepanda sio mchezo kile kipimo kidogo cha sh 200 kwa sasa ni 700 hadi 800, ndoo ya lita 20 kwa sasa ni 110,000 hadi 120,000

Na bado tunajivunia tuna Chuo cha wataalam kilimo na tuna wasomi wa kilimo sasa hawa watu wanalisaidiaje Taifa wakati vitu muhim kama mafuta ya kula tunaagiza nnje wakati tuna Ardhi ya kutosha kulima mawese na na mimea mingine ambayo itatuletea mafuta ya kututosheleza bila kuagiza nnje

Ngano imetoka 1200 kwa sasa ni 2000, sababu tunaagiza nnje na huko nnje vita ya urusi na Ukraine ni sababu moja wapo maana inasemekana wanazalisha ngano kwa kiasi kikubwa kwa sasa hawauzi popote kwasababu ya vita na vikwazo alivyowekewa Urusi

Ukiingia mtaani chapati na vitu vingine bie ni juu sababu mafuta na ngano vimepanda kwa kasi ya ajabu,yote hayo ni kwa sababu vitu vya muhim kama hivi tunaagiza nnje hatuzalishi sisi wenyewe kwa kiwango kikubwa na kututosheleza wakati uwezo tunao

Hivi wasomi wetu wa sua kwa Ardhi tuliyonayo hatuwezi kulima ngano ikatutosha bila kuagiza nnje? Tatizo ni nyie au ni Serikali haitoi bajeti kubwa kwenu

Sua mnalisaidia nini Taifa kama bado tunaagiza vitu muhim nnje na nyie wataalam wa kilimo mpo?
Si wasomi wa SUA tu, vipi wana sayansi wetu wanafanya nini cha maana?
 
Acha liajiri tu kiduchu hawana msaada wowote kwa taifa naona wanaleta hasara tu
Ulitaka wafanye nini kwa mfano? Unafikri hakuna mbegu walizotafiti kwa ajili ya nchi yetu? Usiwalinganishe na wale wa Jalalani ambao wanaishia kutoa ripoti za kinyesi na mikojo!
 
Mimi ni msomi wa darasa la saba nimehitimu mwaka 1999, baada ya hapo nikaingia kwenye kilimo cha mpunga huku mlMbeya kuanzia mwaka 2003 hadi sasa nalima mpunga mimi sio msomi lakini nimelisaidia Taifa kutoagiza mchele nnje upo wa kutosha yani

Sasa nyie wasomi mtueleze elilu yenu mmeisaidia nini serikali kutoagiza mafuta ya kula na ngano nnje ya nnchi
Hizo mbegu unatumia unafikri zimefanyiwa utafiti na darasa la saba?
 
Ngano imetoka 1200 kwa sasa ni 2000, sababu tunaagiza nnje na huko nnje vita ya urusi na Ukraine ni sababu moja wapo maana inasemekana wanazalisha ngano kwa kiasi kikubwa kwa sasa hawauzi popote kwasababu ya vita na vikwazo alivyowekewa Urusi
Majibu kwa baadhi ya maswali yako unayo mwenyewe lakini bado unawalaumu wataalamu wa SUA? You cant be serious dude!
 
Back
Top Bottom