Wasomi wetu mbona hamfungi Ndoa za umri mdogo kama zamani mfano Rais wa Kenya Ruto na Mkewe Recho?

Wasomi wetu mbona hamfungi Ndoa za umri mdogo kama zamani mfano Rais wa Kenya Ruto na Mkewe Recho?

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari wadau.

Nimeona kwenye tv. Historia ya mshindi wa urais Kenya. MR RUTO.

Alimaliza degree yake ya sayansi ya mimea katika chuo kikuu cha Nairobi mwaka 1991 na alifunga ndoa na mchumba wake baada tu ya kumaliza chuo.

Alifunga ndoa huku yeye Ruto akiwa na umri miaka 23 na mkewe Recho akiwa na umri wa miaka 21.

Mkewe Recho alikuwa mwaka wa 1 akisoma degree yake ya Education katika chuo kikuu cha Jomo kenyatta wakati anafunga ndoa na Ruto

Katika ndoa yao wamebarikiwa kupata watoto 7.


Najiuliza why ndoa hizi za umri mdogo sizioni kwa wasomi wa zama hizi?

Kwa nilichojifunza heshima ya wanawake wa zamani ilikuwa juu sana na ndio maana ndoa zao zinadumu sana na kupata mafanikio.

Mke wa ruto ni huwa haongei baada ya mumewe kuongea unless mumewe amwambie sema ,,

Msemo wake mkubwa ni
"My husband has spoken and according to the traditions of the Kalenjin, a woman should not speak after her husband speaks,"
 

Attachments

  • OsUnBdg3i0645BEqBDcXJ8YVVSA1aTuuuoERaj7t.jpg
    OsUnBdg3i0645BEqBDcXJ8YVVSA1aTuuuoERaj7t.jpg
    37.1 KB · Views: 24
Ndoa sio kitu Cha kuiga...Mimi imenikuta sikuoa ndoa ila nilijaribu kuishi na MWanamke miezi sita tu nilianza kupata shida Sana nikahisi nitakufa na pressure au heart attack..MWanamke wa kuishi naye akiwa hana shukrani Hana akili yaani uwezo mdogo NI tatizo..NI heri uwe na hawara TU anakuja mnapika unapiga anaondoka maisha yanaendelea..ila changamoto za kuishi single ni matumizi mabovu ya pesa pia unakuwa mchafu unaweza hata usioge au kufua nguo zako mwezi mzima hata mashuka...ila nitaoa Tena siwez kukaa bila MWanamke japo wanazingua kinyama.
 
Kwenye kichwa cha habari umetumia neno ZAMANI, hili neno ndani yake lina vitu vingi vikiwemo, utu, nidhamu,heshima,upendo wa kila hali, mke kujua nafasi yake kwa familia na kwa mume wake, hakukuwa na ujinga wa 50/50 sijui upuuzi wa usawa wa kijinsia nk.

Kuna vitu vinawezekana ila usasa,50/50,usawa wa kijinsia, social networks nk ni adui mkubwa wa ndoa.
 
Habari wadau.

Nimeona kwenye tv. Historia ya mshindi wa urais Kenya. MR RUTO.

Alimaliza degree yake ya zoology katika chuo kikuu cha Nairobi mwaka 1991 na alifunga ndoa na mchumba wake baada tu ya kumaliza chuo.

Alifunga ndoa huku yeye Ruto akiwa na umri miaka 23 na mkewe Recho akiwa na umri wa miaka 21.

Mkewe Recho alikuwa mwaka wa 1 akisoma degree yake ya Education katika chuo kikuu cha Jomo kenyatta wakati anafunga ndoa na Ruto

Katika ndoa yao wamebarikiwa kupata watoto 7.

Najiuliza why ndoa hizi za umri mdogo sizioni kwa wasomi wa zama hizi?
Kipindi kile ilikuwa ukimaliza tu kidato cha 4 unapata kazi kwenye mashirika ya uma, tena bila intavyuuuu
 
Habari wadau.

Nimeona kwenye tv. Historia ya mshindi wa urais Kenya. MR RUTO.

Alimaliza degree yake ya zoology katika chuo kikuu cha Nairobi mwaka 1991 na alifunga ndoa na mchumba wake baada tu ya kumaliza chuo.

Alifunga ndoa huku yeye Ruto akiwa na umri miaka 23 na mkewe Recho akiwa na umri wa miaka 21.

Mkewe Recho alikuwa mwaka wa 1 akisoma degree yake ya Education katika chuo kikuu cha Jomo kenyatta wakati anafunga ndoa na Ruto

Katika ndoa yao wamebarikiwa kupata watoto 7.

Najiuliza why ndoa hizi za umri mdogo sizioni kwa wasomi wa zama hizi?
Mabinti wa siku hizi ukiwaambia kuna Mchongo unausikilizia hawakuelewi. Ona sasa Mrs Ruto alivumilia na Mchongo umetiki.😀😀
 
Sema watu waliosoma hiyo miaka ya 91 fursa zilikua nje nje sio Kam Sasa Ata ambao hawakusoma bado walikua wananafasi kubwa ya kuwa wakulima mashamba Bure,mboga Bure,kiufupi gharama za maisha hazikua kubwa njoo saa mafuta bei,chakula bei,ujezi bei,mbolea bei,maji bei,umeme bei,kiufupi miaka ya nyuma rasilimali zilikua nying kuliko idadi ya watu waliopo wazee wetu walikua wanaweza kuoa wanawake hata kumi na maisha yakasonga jichanganye xaiz uone moto wake
 
Habari wadau.

Nimeona kwenye tv. Historia ya mshindi wa urais Kenya. MR RUTO.

Alimaliza degree yake ya sayansi ya mimea katika chuo kikuu cha Nairobi mwaka 1991 na alifunga ndoa na mchumba wake baada tu ya kumaliza chuo.

Alifunga ndoa huku yeye Ruto akiwa na umri miaka 23 na mkewe Recho akiwa na umri wa miaka 21.

Mkewe Recho alikuwa mwaka wa 1 akisoma degree yake ya Education katika chuo kikuu cha Jomo kenyatta wakati anafunga ndoa na Ruto

Katika ndoa yao wamebarikiwa kupata watoto 7.


Najiuliza why ndoa hizi za umri mdogo sizioni kwa wasomi wa zama hizi?

Kwa nilichojifunza heshima ya wanawake wa zamani ilikuwa juu sana na ndio maana ndoa zao zinadumu sana na kupata mafanikio.

Mke wa ruto ni huwa haongei baada ya mumewe kuongea unless mumewe amwambie sema ,,

Msemo wake mkubwa ni
"My husband has spoken and according to the traditions of the Kalenjin, a woman should not speak after her husband speaks,"

Hawana hela
 
Ndoa sio kitu Cha kuiga...Mimi imenikuta sikuoa ndoa ila nilijaribu kuishi na MWanamke miezi sita tu nilianza kupata shida Sana nikahisi nitakufa na pressure au heart attack..MWanamke wa kuishi naye akiwa hana shukrani Hana akili yaani uwezo mdogo NI tatizo..NI heri uwe na hawara TU anakuja mnapika unapiga anaondoka maisha yanaendelea..ila changamoto za kuishi single ni matumizi mabovu ya pesa pia unakuwa mchafu unaweza hata usioge au kufua nguo zako mwezi mzima hata mashuka...ila nitaoa Tena siwez kukaa bila MWanamke japo wanazingua kinyama.
Ulicho ongea ni sahihi kabisa
 
Habari wadau.

Nimeona kwenye tv. Historia ya mshindi wa urais Kenya. MR RUTO.

Alimaliza degree yake ya sayansi ya mimea katika chuo kikuu cha Nairobi mwaka 1991 na alifunga ndoa na mchumba wake baada tu ya kumaliza chuo.

Alifunga ndoa huku yeye Ruto akiwa na umri miaka 23 na mkewe Recho akiwa na umri wa miaka 21.

Mkewe Recho alikuwa mwaka wa 1 akisoma degree yake ya Education katika chuo kikuu cha Jomo kenyatta wakati anafunga ndoa na Ruto

Katika ndoa yao wamebarikiwa kupata watoto 7.


Najiuliza why ndoa hizi za umri mdogo sizioni kwa wasomi wa zama hizi?

Kwa nilichojifunza heshima ya wanawake wa zamani ilikuwa juu sana na ndio maana ndoa zao zinadumu sana na kupata mafanikio.

Mke wa ruto ni huwa haongei baada ya mumewe kuongea unless mumewe amwambie sema ,,

Msemo wake mkubwa ni
"My husband has spoken and according to the traditions of the Kalenjin, a woman should not speak after her husband speaks,"
Kumbe ana mke kisuuuu
 
Habari wadau.

Nimeona kwenye tv. Historia ya mshindi wa urais Kenya. MR RUTO.

Alimaliza degree yake ya sayansi ya mimea katika chuo kikuu cha Nairobi mwaka 1991 na alifunga ndoa na mchumba wake baada tu ya kumaliza chuo.

Alifunga ndoa huku yeye Ruto akiwa na umri miaka 23 na mkewe Recho akiwa na umri wa miaka 21.

Mkewe Recho alikuwa mwaka wa 1 akisoma degree yake ya Education katika chuo kikuu cha Jomo kenyatta wakati anafunga ndoa na Ruto

Katika ndoa yao wamebarikiwa kupata watoto 7.


Najiuliza why ndoa hizi za umri mdogo sizioni kwa wasomi wa zama hizi?

Kwa nilichojifunza heshima ya wanawake wa zamani ilikuwa juu sana na ndio maana ndoa zao zinadumu sana na kupata mafanikio.

Mke wa ruto ni huwa haongei baada ya mumewe kuongea unless mumewe amwambie sema ,,

Msemo wake mkubwa ni
"My husband has spoken and according to the traditions of the Kalenjin, a woman should not speak after her husband speaks,"
Ukimuangalia huyo mke wa Ruto anafanana hata theluthi na mchumba uliyenaye?
Ndoa sio kitu Cha kuiga...Mimi imenikuta sikuoa ndoa ila nilijaribu kuishi na MWanamke miezi sita tu nilianza kupata shida Sana nikahisi nitakufa na pressure au heart attack..MWanamke wa kuishi naye akiwa hana shukrani Hana akili yaani uwezo mdogo NI tatizo..NI heri uwe na hawara TU anakuja mnapika unapiga anaondoka maisha yanaendelea..ila changamoto za kuishi single ni matumizi mabovu ya pesa pia unakuwa mchafu unaweza hata usioge au kufua nguo zako mwezi mzima hata mashuka...ila nitaoa Tena siwez kukaa bila MWanamke japo wanazingua kinyama.
Mkuu ulitumia njia sahihi sana na hio ndo njia ambayo unatakiwa kuendelea kuitumia hata sasa kama kweli una nia ya kupata mwanamke wa uhakika wa kuendesha nae gurudumu la maisha.
 
Back
Top Bottom