Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Wakuu
Hili ni bandiko la ushauri kwa vijana wasio na ajira lakini pia kwa mamlaka za ajira
1. Vijana wote wapaaze sauti kwa mamlaka na bunge kubadilisha sheria zinazopanga mishahara yenye ulali sawa kuelekea ukoma wa umri elekezi wa kustaafu (55) na wa lazima (60) ili wanapotoka wasiwe tegemezi
2. Mchangiaji yeyote katika mifuko ya jamii anapozidi utumishi wa miaka kumi mfululizo ni busara kwa miaka inayoongezeka michango yake anapoihitaji kuichukue sheria iruhusu ili kumfanya ajiandae vyema kung'atuka ili awaachie vijana ajira hiyo
3. Michango ya mchangiaji yeyote inatakiwa iwe na faida kwake badala ya riba ya asilimia 2 (2%) kwa mwaka wakati serikali inapowekeza kwenye miradi inahipatia faida kubwa ambayo baadhi yake inaishia kwenye mikono isiyo salama ya watumishi wasio waaminifu. Riba ipandishwe hadi asilimia 12 (12%) ili kuendana na wakati wa thamini ya fedha kushuka
Hili ni bandiko la ushauri kwa vijana wasio na ajira lakini pia kwa mamlaka za ajira
1. Vijana wote wapaaze sauti kwa mamlaka na bunge kubadilisha sheria zinazopanga mishahara yenye ulali sawa kuelekea ukoma wa umri elekezi wa kustaafu (55) na wa lazima (60) ili wanapotoka wasiwe tegemezi
2. Mchangiaji yeyote katika mifuko ya jamii anapozidi utumishi wa miaka kumi mfululizo ni busara kwa miaka inayoongezeka michango yake anapoihitaji kuichukue sheria iruhusu ili kumfanya ajiandae vyema kung'atuka ili awaachie vijana ajira hiyo
3. Michango ya mchangiaji yeyote inatakiwa iwe na faida kwake badala ya riba ya asilimia 2 (2%) kwa mwaka wakati serikali inapowekeza kwenye miradi inahipatia faida kubwa ambayo baadhi yake inaishia kwenye mikono isiyo salama ya watumishi wasio waaminifu. Riba ipandishwe hadi asilimia 12 (12%) ili kuendana na wakati wa thamini ya fedha kushuka