Wassira apewa hadhi ya Rais bungeni

Wassira apewa hadhi ya Rais bungeni

Ila kiwafanyiwa scrabing week tatu.....mheshimiwa ni handsome
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    6.1 KB · Views: 179
Hicho kibabu ..chenye miaka 70 ...apate urais ..ili aondoke na mkongojooo????

Hadhi ya Rais ni kutoa Vote of Thanks au yeye Kupewa Vote of thanks ?

Acheni
Dr. Slaa ana miaka 67, na mwaka kesho anagombea urais akiwa na miaka 68. Where is the difference.
Au akinya kuku sawa;lakini akinya bata kaharisha?
 
Kwani muonekano wa sura ya mh wasira unahusiana na utendaji wake wa kazi? mbona yupo mpaka mapouda madarakani lakini watu wanalia?
 
Dr. Slaa ana miaka 67, na mwaka kesho anagombea urais akiwa na miaka 68. Where is the difference.
Au akinya kuku sawa;lakini akinya bata kaharisha?

Acha Vichekeshoo....Sasa unalinganisha ccm na vyama Vya upinzani hususani Chadema ambayo kwanza Ndio wanaandaa VIONGOZI vijana Leo ....Chadema itaanza kuwa na utajiri wa WAGOMBEA wa kuandaa wenyewe kuanzia uchaguzi wa 2020.

Ccm Ina utajiri mkubwa wa VIONGOZI wenye sifa ambao wameandaliwa toka Enzi Za Mwalimu ....Sasa huoni ni kichekesho kumtumia ..Mzee Wassira (70 )

Au hukumuelewa Nyerere aliposema tishio la ccm lipo kwenye kumeguka.....yaani kwa mwamko uliopo wapinzani wakipata mgombea mzuri wa urais hasa toka ccm ..watashinda .
 
Acha Vichekeshoo....Sasa unalinganisha ccm na vyama Vya upinzani hususani Chadema ambayo kwanza Ndio wanaandaa VIONGOZI vijana Leo ....Chadema itaanza kuwa na utajiri wa WAGOMBEA wa kuandaa wenyewe kuanzia uchaguzi wa 2020.

Ccm Ina utajiri mkubwa wa VIONGOZI wenye sifa ambao wameandaliwa toka Enzi Za Mwalimu ....Sasa huoni ni kichekesho kumtumia ..Mzee Wassira (70 )

Au hukumuelewa Nyerere aliposema tishio la ccm lipo kwenye kumeguka.....yaani kwa mwamko uliopo wapinzani wakipata mgombea mzuri wa urais hasa toka ccm ..watashinda .
Kwanza nashukuru kwa kutambua Rais atatoka CCM
Pili hakuna kiongozi katika vyama vya upinzani anayeweza kuwa Rais
Tatu Hazina ya viongozi iko CCM tangu enzi za Mwalimu, na miongoni mwa wanafunzi wake ambao Mwalimu aliamua kuwasomesha ili wasaidie Nchi hii ni Stephen Masato Wassira.
 
Kwanza nashukuru kwa kutambua Rais atatoka CCM
Pili hakuna kiongozi katika vyama vya upinzani anayeweza kuwa Rais
Tatu Hazina ya viongozi iko CCM tangu enzi za Mwalimu, na miongoni mwa wanafunzi wake ambao Mwalimu aliamua kuwasomesha ili wasaidie Nchi hii ni Stephen Masato Wassira.

Waliosomeshwa ..na kukuzwa Personally na Mwalimu ni wengi ..tena wenye umri unaruhusu...sio Wassira Peke yake.....

Obvious Rais atatoka ccm ...mipango ya ndani kabisa ya Wapinzani ni ya 2020 ......lengo Lao Sasa ni kuongeza Idadi tu ..ya wabunge ...hata Hivyo ikitokea Kiongozi Mkubwa akajitoa ccm ...lolote linaweza kutokea
 
Katika hali ya Shangwe na furaha leo baada ya upigaji kura kukamilika, Mwenyekiti wa Bunge la katiba aliwakaribisha wajumbe mbalimbali kwaajili ya kutoa shukrani na kuhitimisha, Ilipofika zamu ya Steven Wassira kundi la wabunge lilipuka kwa shangwe na nderemo kwa sauti "Rais, Rais ,Rais,!!!!!!!!"
Baadhi ya watu waliolisikia hilo wametoa maoni yao kuwa hiyo ni ishara njema ya kukubalika miongoni mwa wabunge hao, na ishara njema kwake.

Baada ya kupewa nafasi hiyo, Wassira alitililika kwa ufasaha, akionyesha utulivu na ukomavu wa kisiasa, huku akishangiliwa kupita kiasi na bunge zima.
Katika maneno yake yaliyojaa Hekima na Busara,Wassira kaitendea haki hadhi aliyopewa hapo bungeni leo.

Wengine waliochangia vizuri na kwa utulivu ni Hamadi Rashidi, John Shibuda, Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Mbunge wa Kishapu,Serukamba,Kingunge Ngombali Mwiru na wengine wengi.

Nyota njema huonekana asubuhi.
Kutoka maktaba!
 
Back
Top Bottom