Baada ya mh. Wassira kutoa kauli na kuwahakikishia watanzania kuwa hati ya muungano ipo na ataiwasilisha ndani ya siku mbili.
Taarifa zenye uhakika kabisa kuwa hati imeshawasili Dodoma kwa maana ya nakala/copy na asubuhi itawasilishwa nakala iliyothibitishwa/certified true copy na kila mjumbe wa bunge la katiba atapewa nakala yake kama kumbukumbu.
Taarifa zenye uhakika kabisa kuwa hati imeshawasili Dodoma kwa maana ya nakala/copy na asubuhi itawasilishwa nakala iliyothibitishwa/certified true copy na kila mjumbe wa bunge la katiba atapewa nakala yake kama kumbukumbu.