Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanganyika Packers.Tanganyika gani?
Njia panda ya Peponi!Tanganyika Packers.
Muungano ni maridhiano sio kulazimishana !! Ni lazima uwasikilize na wale ulioungana nao wanatakaje ?!!Sasa ndio ameshalileta kabla ya mchakato kuanza. Tuna majibu gani ktk hili suala
Kiwanda cha nyama. !!Tanganyika Packers.
Ni Kweli Rasimu haikupigiwa kura,Acha kudanganya watu. Hayo maoni yalipigiwa kura au referendum?. Mpaka uka conclude kwamba yalikuwa mapendekezo ya wengi zaidi?. Umuhimu wa katiba upo palepale lkn muda ukifika ndio utapata nafasi ya kupigia debe msimamo wako. Kwa sasa unatudanganya mkui
Umenena!! Huyu Mheshimiwa anaenda style ya JK ya ku- buy time , na bunge la katiba litaanzishwa lakini at the end of the day pesa italiwa na hakuna Katiba Mpya !!Mimi naona tatizo ni huku kuamini kuwa kweli tunaenda kupata katiba mpya kirahisi tu hivi, sijui kwanini watu wanaamini kuwa kupitia Samia kila kitu kinawezekana kirahisi.
Hujatoa jibu,. Swali liliulizwa kutokana na kauli ya mzee wa ccm maana wao ndio wameshikilia mpini. Je, tuendelee na majibizano ya takwa letu la serikali tatu na wao wang'ang'anie na takwa lao la serikali mbili? Kuhusu serikali moja hilo halitawezekana maana Zanzibar hawatalikubaliMuungano ni maridhiano sio kulazimishana !! Ni lazima uwasikilize na wale ulioungana nao wanatakaje ?!!
Zanzibar nao waseme kabla ya kuanza huo mchakato wanatakaje ? Isije ikawa kazi ya kuzipoteza tena pesa za walipa kodi kwa kitu kinachojulikana kuwa hakitowezekana !! Ccm ya Wassira imeshasema lake je upande wa pili nao wapo pamoja na Wassira au vipi ?!Hujatoa jibu,. Swali liliulizwa kutokana na kauli ya mzee wa ccm maana wao ndio wameshikilia mpini. Je, tuendelee na majibizano ya takwa letu la serikali mbili na wao wang'ang'anie na takwa lao la serikali mbili? Kuhusu serikali moja hilo halitawezekana maana Zanzibar hawatalikubali
Tutapigwa tena!Zanzibar nao waseme kabla ya kuanza huo mchakato wanatakaje ? Isije ikawa kazi ya kuzipoteza tena pesa za walipa kodi kwa kitu kinachojulikana kuwa hakitowezekana !! Ccm ya Wassira imeshasema lake je upande wa pili nao wapo pamoja na Wassira au vipi ?!
Zanzibar nao waseme kabla ya kuanza huo mchakato wanatakaje ? Isije ikawa kazi ya kuzipoteza tena pesa za walipa kodi kwa kitu kinachojulikana kuwa hakitowezekana !! Ccm ya Wassira imeshasema lake je upande wa pili nao wapo pamoja na Wassira au vipi ?!
Wapinzani Ndio hawa akina Zitto Kabwe na Mbowe!Upande wa pili labda wapinzani,kauli ya wassira ndio kauli ya ccm bara na visiwani,tena viongozi wa ccm visiwani hao ni vibaraka tu hawana jipya na ndio wanaolinda sana huu muungao na hawaaki kabisa uvunjike mana wanafaidi mengi sana.
Ndio kitu ambacho hatutaki kukiona tena !! Miaka yote Wazanzibari wanalalamika kwamba wanaburutwa sasa the ball is in their court wanauchezaje ?! Hiyo ni Kazi yao !! Yetu macho na masikio !Tutapigwa tena!
Tusubiri tuone !!Upande wa pili labda wapinzani,kauli ya wassira ndio kauli ya ccm bara na visiwani,tena viongozi wa ccm visiwani hao ni vibaraka tu hawana jipya na ndio wanaolinda sana huu muungao na hawaaki kabisa uvunjike mana wanafaidi mengi sana.
Wazanzibar Wana shida gani?Ndio kitu ambacho hatutaki kukiona tena !! Miaka yote Wazanzibari wanalalamika kwamba wanaburutwa sasa the ball is in their court wanauchezaje ?! Hiyo ni Kazi yao !! Yetu macho na masikio !
dio tunataka tusikie wanaafiki Maneno ya Mzee Wassira ??!Wazanzibar Wana shida gani?
Nchi na Katiba wanayo
Wao wanatenda hawapigi porojoN
dio tunataka tusikie wanaafiki Maneno ya Mzee Wassira ??!
Tanzania tuna wajinga kama akina USSR ambao kwao uamuzi wa mtu mmoja maadam ni mwanaccm kwao ni sawa tu, na atakapotokea mwingine wa CCM akasema yule alikosea atageuka na kumuunga mkono huyu!Wameanza tena hoja kuu za wanasiasa wa Tanzania ni CCM serikali mbili na Chadema tatu , CCM muungano ni legitimacy chademo hamaamini, soon utasikia wakibishania hati za muungano na madaraka ya Rais, Tanzania tuna wanasiasa wa hovyo sana hawa hawa wapinzani uchwara
USSR
Sera ya Chama unasema uamuzi wa mtu mmoja?Tanzania tuna wajinga kama akina USSR ambao kwao uamuzi wa mtu mmoja maadam ni mwanaccm kwao ni sawa tu, na atakapotokea mwingine wa CCM akasema yule alikosea atageuka na kumuunga mkono huyu!
Ndani ya CCM akitamka mwenyekiti tayari ni sera ya chama.Sera ya Chama unasema uamuzi wa mtu mmoja?