Pre GE2025 Wassira pumzi imekata Hoiiiiiii! ataweza heka heka za Kampeni kweli?

Pre GE2025 Wassira pumzi imekata Hoiiiiiii! ataweza heka heka za Kampeni kweli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Wakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana.

Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao mara nyingine wenzie wakiwa wanajadili yeye anakuwa anafanya maombi au kutafakari yale wanayojadili.

Soma Pia: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Kwa sasa hata huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu?siyo sawa hata kidogo.
 
Wakati kuna vijana wanabubujikwa na machzoi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kial siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana. Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao akiwa anasinzia

kwa sasa haka huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili.
Lini tena hiyo mbona hawajatutangazia ? R I P mwamba.
 
Juzi alikuwepo msibani kwa Prof Sarungi
Wassira na Sarungi ni ndugu wote ni Waadventista wa Sabato.
Hata hivo cheo cha Makamu sio cha kuongea ongea na kutembea tembea .
Ni mshauri wa chama, yote kwa yote mzee anatakiwa kupumzika
 
Wakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana. Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao mara nyingine wenzie wakiwa wanajadili yeye anakuwa anafanya maombi au kutafakari yale wanayojadili.

kwa sasa hata huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu??????????????siyo sawa hata kidogo.
Moto wa Mabuaaa😅😅😅
 
Back
Top Bottom