Pre GE2025 Wassira pumzi imekata Hoiiiiiii! ataweza heka heka za Kampeni kweli?

Pre GE2025 Wassira pumzi imekata Hoiiiiiii! ataweza heka heka za Kampeni kweli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana. Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao mara nyingine wenzie wakiwa wanajadili yeye anakuwa anafanya maombi au kutafakari yale wanayojadili.

kwa sasa hata huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu??????????????siyo sawa hata kidogo.
Vijana wamefeli na hawaaminiki kabisa. Vijana wenyewe si kama akina Mrisho Gambo, Makonda, Januari, Nape, Ummy ?? Wote hawa ni FAILURES
 
Wakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana. Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao mara nyingine wenzie wakiwa wanajadili yeye anakuwa anafanya maombi au kutafakari yale wanayojadili.

kwa sasa hata huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu??????????????siyo sawa hata kidogo.
Laana inawatafuna kwa uovu wao kwa taifa na watanzania
 
Hiyo nafasi angepewa kijana muongeaji anayejua kujenga na kupangua hoja za wapinzani. Kina makonda, ally hapi, chalamila, heri james, na wengine machachari wangepewa nafasi hiyo ila vigogo hao wengine ubunge wanautaka ili wawe na nafasi nzuri kuwa mawaziri
 
Wakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana. Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao mara nyingine wenzie wakiwa wanajadili yeye anakuwa anafanya maombi au kutafakari yale wanayojadili.

kwa sasa hata huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu??????????????siyo sawa hata kidogo.
Vijana mko shallow sana
 
Back
Top Bottom