Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mswalie mtume ndugu.Si kheri kutumia maneno hayoSokwe wetu wa Taifa ametutoka. RIP
weka moyoni tu jamaaSokwe wetu wa Taifa ametutoka. RIP
Atatujibu kwamba hatafuti mchumba wala msimbe wa kuzeeka naye.Yule Babu hata mvuto hana.
Labda wameenda kubadili engine indiaHoi
Gari Ni Engine Siyo Bodi
Kwahiyo CCM wameamua kutangaza zamadamu za Olduvai Gorge?Atatujibu kwamba hatafuti mchumba wala msimbe wa kuzeeka naye.
Ngoja tuangalie hansadi inaelekezaje.Kwahiyo CCM wameamua kutangaza zamadamu za Olduvai Gorge?
Atakuwa anatutungia uongo huku mashavu yanatetema kwa kilio cha kwikwi na mbubujiko usiokoma.Bwana lucas mwashamba ashajikatia tamaa tokea kusikia umeme una nunuliwa nchi za nje.
Katika uhai wake ulio salia hatamsahau kamwe Binti aitwae Ester Bulaya.Yule Babu hata mvuto hana.
Vijana wamefeli na hawaaminiki kabisa. Vijana wenyewe si kama akina Mrisho Gambo, Makonda, Januari, Nape, Ummy ?? Wote hawa ni FAILURESWakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana. Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao mara nyingine wenzie wakiwa wanajadili yeye anakuwa anafanya maombi au kutafakari yale wanayojadili.
kwa sasa hata huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu??????????????siyo sawa hata kidogo.
Ni mshirikina sana huyu mzee. Kuna wakati ilidaiwa kuwa ni agent wa viungo vya albino. kitaifaAliwekwa ili asaidie kutafuta waganga
Laana inawatafuna kwa uovu wao kwa taifa na watanzaniaWakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana. Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao mara nyingine wenzie wakiwa wanajadili yeye anakuwa anafanya maombi au kutafakari yale wanayojadili.
kwa sasa hata huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu??????????????siyo sawa hata kidogo.
Lucas Mwashambwa hebu njoo hukuWakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi
Wasira ni engine mpya isiyo na bodi wala matairi, itaenda wapi?Hoi
Gari Ni Engine Siyo Bodi
Hata sura yake ni ya kuzimu kabisa ngoja akachomwe moto huko JehannamNi mshirikina sana huyu mzee. Kuna wakati ilidaiwa kuwa ni agent wa viungo vya albino. kitaifa
Vijana mko shallow sanaWakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana. Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao mara nyingine wenzie wakiwa wanajadili yeye anakuwa anafanya maombi au kutafakari yale wanayojadili.
kwa sasa hata huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu??????????????siyo sawa hata kidogo.