Na ni dharau kwa wananchi Kwa kutuwekea mtu ambaye wanafahamu kwamba hawezi Bali ni kutimiza wajibu na kwa maslahi yao na si ya watanzaniaYule Babu hata mvuto hana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ni dharau kwa wananchi Kwa kutuwekea mtu ambaye wanafahamu kwamba hawezi Bali ni kutimiza wajibu na kwa maslahi yao na si ya watanzaniaYule Babu hata mvuto hana.
NCCR ilikuwa "honey pot" ya watawalaMwanachama sugu wa NCCR-Mageuzi anayepokea pensheni CCM.
Sasa vyote vimechoka, walau bodi unajaribu kuipaka rangi.Hoi
Gari Ni Engine Siyo Bodi
Wakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana. Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao mara nyingine wenzie wakiwa wanajadili yeye anakuwa anafanya maombi au kutafakari yale wanayojadili.
kwa sasa hata huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu??????????????siyo sawa hata kidogo.
Dogo vipi Lissu ashatua nchini baada ya kufukuzwa Angola?Wakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana. Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao mara nyingine wenzie wakiwa wanajadili yeye anakuwa anafanya maombi au kutafakari yale wanayojadili.
kwa sasa hata huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu??????????????siyo sawa hata kidogo.
Anaweza ndugu, kama sikosi ndo ametimiza miaka 18 sijui vizuri lakiniWakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana.
Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao mara nyingine wenzie wakiwa wanajadili yeye anakuwa anafanya maombi au kutafakari yale wanayojadili.
Soma Pia: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Kwa sasa hata huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu?siyo sawa hata kidogo.
Uteuzi wa Wasira ni strategic, Zijue Sababu za Kwanini ni Wasira?, He is The Right Man at The Right Time & The Right Place. It Is A Project!, Ikikamilika, Atang'atuka, Kama Kinana!. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu?siyo sawa hata kidogo.
Dogo vipi Lissu ashatua nchini baada ya kufukuzwa Angola?
Yuko restorationWakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana.
Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao mara nyingine wenzie wakiwa wanajadili yeye anakuwa anafanya maombi au kutafakari yale wanayojadili.
Soma Pia: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Kwa sasa hata huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu?siyo sawa hata kidogo.
Wakati huohuo wewe unamzungumzia Wassira, vp na yeye akuambie hivyohivyo?!! Kweli akili n nywele.Sister unammiss sana Lissu. Tafuta mtu ambaye hajaoa
Sasa mlitaka apewe CHAWA in chief Lucas Mwashambwa?!Tulisema humu kuwa yule Babu mziki wa Lissu Heche na Slaa hatauweza ataishia kucheua damu tu.😁
LazimaNi mshirikina sana huyu mzee. Kuna wakati ilidaiwa kuwa ni agent wa viungo vya albino. kitaifa
Kwani yeye ni shoga? Maana mi mwanaume.Sister unammiss sana Lissu. Tafuta mtu ambaye hajaoa
Sera zake kuu ni kuidis CDM!Wakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana.
Mzee ataweza heka heka za Kampeni kweli? mara nyingi huwa anaonekana kwenye vikao mara nyingine wenzie wakiwa wanajadili yeye anakuwa anafanya maombi au kutafakari yale wanayojadili.
Soma Pia: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Kwa sasa hata huu mkutano wa mara ya mwisho sikumwona sijui kama alikuja kipindi mimi nimetoka. lakini kiukweli hiyo nafasi tupewe sisi wenye nguvu. huyu Wassira hawezi kimbizana na vijana wenye nguvu kimwili na kiakili. kwani akina mashamba hawaonekani na namba za simu wanaweka sana humu?siyo sawa hata kidogo.