Pre GE2025 Wassira pumzi imekata Hoiiiiiii! ataweza heka heka za Kampeni kweli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vijana wamefeli na hawaaminiki kabisa. Vijana wenyewe si kama akina Mrisho Gambo, Makonda, Januari, Nape, Ummy ?? Wote hawa ni FAILURES
 
Laana inawatafuna kwa uovu wao kwa taifa na watanzania
 
Hiyo nafasi angepewa kijana muongeaji anayejua kujenga na kupangua hoja za wapinzani. Kina makonda, ally hapi, chalamila, heri james, na wengine machachari wangepewa nafasi hiyo ila vigogo hao wengine ubunge wanautaka ili wawe na nafasi nzuri kuwa mawaziri
 
Vijana mko shallow sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…