Pre GE2025 Wassira pumzi imekata Hoiiiiiii! ataweza heka heka za Kampeni kweli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
 
Dogo vipi Lissu ashatua nchini baada ya kufukuzwa Angola?
 
akizungumza mnalalamika akikakaa kimya pia munalalamika. VIJANA wa ovyo sana
 
Anaweza ndugu, kama sikosi ndo ametimiza miaka 18 sijui vizuri lakini
 
Huyu ameshachoka kiakili ,kimwili na kiroho

Sioni akitoboa hadi October katika siasa za Majukwaani .
 
Yuko restoration

 
Sera zake kuu ni kuidis CDM!

Hivi Ccm hawana agenda za maana kuelekea uchaguzi, kila siku ni hayo hayo?

Mtua anafunga hadi safari mikoani eti kwenda kuidis Cdm, kwanini asipayukie huko huko Dsm, kuliko kuunguza rasilimali za nchi kwa gharama kubwa za misafara kwenda kufanya maigizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…