Ustaadhi 22
JF-Expert Member
- Sep 5, 2021
- 996
- 1,907
Tunaomba kistaafu kazi kwa mujibu wa Sheria, rudi kalee wajukuu wasirudishwe au kupewa mikataba Mipya ni Kosa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaa Mkuu... Hawana jipya.True na wengi wanatamani kurudi ni wale waliokuwa wanoko makazini wakasahau kujipanga sababu walikuwa bize kuandika umbeya na kuwaharibia wenzao.
Nakazia.Vijana Wengi Wako mitaani,, Tunaomba Rais Samia MTU akistaafu kwenye Tasisi Kama TCRA, TBS, WMA, Au TANROADS au TPA ,, Kwa Nini mnawapa MIKATABA ya kuendelea Wakati Vijana wazalendo Wenye maono mapya Wapo.. Hao wazee wamefika Miaka 60 Hawana maono Yoyote mapya Zaidi ya Tamaa ya MADARAKA na uoga wa Maisha.. please Serikali Acheni kuwarudisha kazin Hao Watu,, Hawana maono Yoyote Zaidi ya ujanja ujanja tuu.
45 ya konyoMiaka 60 unataka kurudi kazini iweje,hii ya miaka 60 ndo ustaafu uwafanya wengi sana wajisahau kwenye zipu na vizibo, inataka iwe 45 unapisha wengine
Wapo maRais waliostaafu bado mpaka sasa wanafukuzia nyadhifa nyingine !!True na wengi wanatamani kurudi ni wale waliokuwa wanoko makazini wakasahau kujipanga sababu walikuwa bize kuandika umbeya na kuwaharibia wenzao.
Hasa ukubwaniKujiajiri kugumu
Pia kustaafu kwa hiari iwe miaka 50 badala ya 55. Kuna graduate wengi sana wako mitaani. Raisi hili nalo lione.Tunaomba kistaafu kazi kwa mujibu wa Sheria, rudi kalee wajukuu wasirudishwe au kupewa mikataba Mipya ni Kosa.