Wastaafu wasirudishwe kwenye ajira

Wastaafu wasirudishwe kwenye ajira

Miaka 60 unataka kurudi kazini iweje,hii ya miaka 60 ndo ustaafu uwafanya wengi sana wajisahau kwenye zipu na vizibo, inataka iwe 45 unapisha wengine
Ukisikia sasa wanavyojidai idadi ya mademu waliokula.

Muda wakustafu ukifika presha na sukari vinaanza
 
Wanufaika hawawezi kubadilika
Wanakaribisha magonjwa sugu !
Cardiovascular 🫀 na mengineyo !
Na pia kuzifanya Nchi zetu zichelewe sana kuendelea !!
Sio kweli kwamba Wazee wanaweza kwenda na spidi ya Dunia inavyotaka !
Wanajilazimisha kufanya wasiyoyaweza !
Tamaa na roho mbaya ya choyo !
 
Kuna limoja limestaafu kwa cheo kikubwa limefanya kazi miaka 40 ndio lina nyumba moja ya kawaida Tena chanika boss mzima unakaa chanika mbezi,mikocheni makongo ukuona sababu alikuwa bize na unoko kazini.
Huwexi ukawa mnoko ukawa na maendeleo.
Aliambiwa astaafu na 55 akagoma igote 60 mamaae akakutana na kikokotoo kapwaa 80 biashara hajui,wenzake waliondoka na 55 walilamba 330 walipewa yote
YAni Una mdiss Mstaafu kama vile Wewe hautastaafu. Usipostaafu utakufa au utafukuzwa kazi. Kustaafu ni Heshima na Baraka siyo mwisho wa Maisha. Jani la Njano haliwezi kucheka Jani kavu.
 
Vijana Kibao wamelazwa JKCI wanasumbuliwa na Cardio, Kisukari na Figo . Wengi wamekufa unaowajua. Usibeze Wazee. Mbona Museven yupo imara. Trump mgombea ajaye 70+. Mama 60+ anatawala na unamsema anaupiga mwingi. Tafuta kuingiza Kipato waache Watumishi wanaotumika according to Sheria na Muongozo ya Nchi
 
Tunaomba kistaafu kazi kwa mujibu wa Sheria, rudi kalee wajukuu wasirudishwe au kupewa mikataba Mipya ni Kosa.
Kuna kipindi nirikuwa field ofisi moja ya kusimamia barabara iseee moja wa staff wao alikuwa ni mstaafu wao kwa 10 years back ila bado yupo anapewa mkataba tu alafu sasa anavikampuni vyake vya pembeni ikitokea wanatakiwa watu wa kufyeka barabara ujue anachukua yeye na deal nyingine ndogondogo maana pia ndio alikuwa mkuu wa procurement department.

Bongo nyosoo sana.
 
Back
Top Bottom