Wastaafu wasirudishwe kwenye ajira

Wastaafu wasirudishwe kwenye ajira

Vijana Wengi Wako mitaani,, Tunaomba Rais Samia MTU akistaafu kwenye Tasisi Kama TCRA, TBS, WMA, Au TANROADS au TPA ,, Kwa Nini mnawapa MIKATABA ya kuendelea Wakati Vijana wazalendo Wenye maono mapya Wapo.. Hao wazee wamefika Miaka 60 Hawana maono Yoyote mapya Zaidi ya Tamaa ya MADARAKA na uoga wa Maisha.. please Serikali Acheni kuwarudisha kazin Hao Watu,, Hawana maono Yoyote Zaidi ya ujanja ujanja tuu.
Kuna baadhi ya carier wanapaswa kupewa mikataba kama vile madaktari bingwa,maprofesa, PhD nk ili waweza kuwakomaza vijana ambao bado hawana uzoefu na kazi
 
Kuna baadhi ya carier wanapaswa kupewa mikataba kama vile madaktari bingwa,maprofesa, PhD nk ili waweza kuwakomaza vijana ambao bado hawana uzoefu na kazi
Tatizo ni hao vijana sasa,wamekua mchele mchele wameamua kutoa tako tu.
Enzi zetu kazi yoyote tulikua tunazagamuana nayo tu.
Leo fundi umeme,kesho saidia fundi.
Mara makenika,huku muhudumu, ukipata deal la kupiga mjegeje hela nzuri unaenda kupakaza.
 
Mnadhani kwanini wanajiongezea mishahara na malipo ya uzeeni? na faida kibao, ni kwa sababu kama hizi.
Wao wana ona bado wanauwezo wanaomba, nipe jabo ujumbe wa bodi naadhirika huku mtaani.
Nyie mnasema wasirudi, mnadhani nyie mkizeeka mtayaweza? na nyie mtalialia hivyo hivyo kama wao sasa waliavyo.
 
Kuna baadhi ya carier wanapaswa kupewa mikataba kama vile madaktari bingwa,maprofesa, PhD nk ili waweza kuwakomaza vijana ambao bado hawana uzoefu na kazi
Maprofesa kwa nchi nyingi wanabaki kam hazina ya taifa mpaka watakapokufa hata miaka 70 fresh kupiga kazi ,ukingatia mchakato mpaka mtu awe professor ni parefu.
 
Vijana Wengi Wako mitaani,, Tunaomba Rais Samia MTU akistaafu kwenye Tasisi Kama TCRA, TBS, WMA, Au TANROADS au TPA ,, Kwa Nini mnawapa MIKATABA ya kuendelea Wakati Vijana wazalendo Wenye maono mapya Wapo.. Hao wazee wamefika Miaka 60 Hawana maono Yoyote mapya Zaidi ya Tamaa ya MADARAKA na uoga wa Maisha.. please Serikali Acheni kuwarudisha kazin Hao Watu,, Hawana maono Yoyote Zaidi ya ujanja ujanja tuu.
Bila kusahau BOT, TRA, TRC, TANAPA, EWURA. TANESCO.
 
Nakazia. Inaingia vipi kwenye akili?? Vijana wetu waende kwa nani???
Ingekuwa serikali yangu,
Kuajiriwa mwisho miaka 20.
Katika miaka hiyo mwajiriwa inahakikisha unatafuta mtaji Kwa ajili ya uwekezaji.
Ikitimia miaka hiyo unaachia nafasi.
Hivyo utakuwa imetengeneza ajira Moja Kwa kuacha nafasi wazi , na nyingine kadhaa kwenye uwekezaji uliofanya. Hapa tatizo la ajira litatoka wapi wakuu.?
 
Kujiajiri kugumu
Mtu akifikisha miaka 65 na ana kila kitu anachokihitaji kwa ajili ya kuishi na haya maisha ya Duniani ni muhimu akapumzika !!
Ni muda wa kukaa na kucheza na wajukuu !!
Wawaachie hizo nafasi watu wengine wenye kuzihitaji kweli kweli !
Maana ya Retirement time ni kwamba mwili umeshachoka mpaka Akili pia zimeshachoka ,
Hakuna kipya ambacho mtu huyo anaweza kukileta !
Achieni Damu changa zillete mapinduzi ya kifikra !!
Sisi wazee ni muda wa kupumzika na kucheza na wajukuu wetu !
Ndio maana Afrika ipo nyuma kwa sababu Damu changa hazipewi nafasi zinazostahili. !!

Tubadilike ! 🙏🙏
 
Mnadhani kwanini wanajiongezea mishahara na malipo ya uzeeni? na faida kibao, ni kwa sababu kama hizi.
Wao wana ona bado wanauwezo wanaomba, nipe jabo ujumbe wa bodi naadhirika huku mtaani.
Nyie mnasema wasirudi, mnadhani nyie mkizeeka mtayaweza? na nyie mtalialia hivyo hivyo kama wao sasa waliavyo.
Ni tamaa tu na pia kukosa Amani ya Moyo !!
Nawashauri wakitaka wapate peace of mind waingie katika masuala ya kutangaza Dini zao !
That’s it, hakuna namna nyingine !! 🙏
 
Kuna baadhi ya carier wanapaswa kupewa mikataba kama vile madaktari bingwa,maprofesa, PhD nk ili waweza kuwakomaza vijana ambao bado hawana uzoefu na kazi
Kwa miaka zaidi ya 30 kazini wameshindwa kuwakomaza vijana?
 
Msisahau sie wazee ambao tupo kazini na tunagoma kuondoka, tuna watoto kama nyie bado tunawaandalia mazingira, tuna taka tuwarithishe na hizi nafasi za umma!
It's not personal it's business, muwalaumu baba zenu kwanini hawakuingia serikali ni kama Sisi!
 
Mtu akifikisha miaka 65 na ana kila kitu anachokihitaji kwa ajili ya kuishi na haya maisha ya Duniani ni muhimu akapumzika !!
Ni muda wa kukaa na kucheza na wajukuu !!
Wawaachie hizo nafasi watu wengine wenye kuzihitaji kweli kweli !
Maana ya Retirement time ni kwamba mwili umeshachoka mpaka Akili pia zimeshachoka ,
Hakuna kipya ambacho mtu huyo anaweza kukileta !
Achieni Damu changa zillete mapinduzi ya kifikra !!
Sisi wazee ni muda wa kupumzika na kucheza na wajukuu wetu !
Ndio maana Afrika ipo nyuma kwa sababu Damu changa hazipewi nafasi zinazostahili. !!

Tubadilike ! 🙏🙏
Ni wazo zuri, je ni nani wa kupitisha haya maamuzi, na je wako tayari?
 
Msisahau sie wazee ambao tupo kazini na tunagoma kuondoka, tuna watoto kama nyie bado tunawaandalia mazingira, tuna taka tuwarithishe na hizi nafasi za umma!
It's not personal it's business, muwalaumu baba zenu kwanini hawakuingia serikali ni kama Sisi!
Hahaaa ukweli mchungu
 
Back
Top Bottom