Wastafu wenye vyeo vikubwa na mishahara minono huteuliwa kazi zingine ila watumishi ngazi za chini sasa wanakatwa mafao yao

Wastafu wenye vyeo vikubwa na mishahara minono huteuliwa kazi zingine ila watumishi ngazi za chini sasa wanakatwa mafao yao

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Tuache haya ya Mabeyo na mtego wa Loliondo. Rudi kwa akina Anna Makinda, Pius Msekwa, Jaji Warioba na Wengine wengi.

Walikuwa wanasiasa wenye mafao bora kabisa ya Ubunge ambayo hupewa yote kwa mkupuo. Na wengine hupokea mafao bora kila mwezi yani asilimia 80 ya mshahara wa Waziri Mkuu au Spika aliye madarakani lkn bado hupewa teuzi zenye maslahi bora ili maisha yaendelee vizuri.

Sasa nashindwa kuelewa watu hawa wanawaza nini hadi kuamua kuchukua pensheni za watumwa wao wa chini kabisa kwa sheria za kikokotoo? Ipo siku mawe yatasema!

Huu ni unyonyaji
 
Tuache haya ya Mabeyo na mtego wa Loliondo. Rudi kwa akina Anna Makinda, Pius Msekwa, Jaji Warioba na Wengine wengi.

Walikuwa wanasiasa wenye mafao bora kabisa ya Ubunge ambayo hupewa yote kwa mkupuo. Na wengine hupokea mafao bora kila mwezi yani asilimia 80 ya mshahara wa Waziri Mkuu au Spika aliye madarakani lkn bado hupewa teuzi zenye maslahi bora ili maisha yaendelee vizuri.

Sasa nashindwa kuelewa watu hawa wanawaza nini hadi kuamua kuchukua pensheni za watumwa wao wa chini kabisa kwa sheria za kikokotoo? Ipo siku mawe yatasema!

Huu ni unyonyaji
UBOVU WA KATIBA ILIYOPO
 
Nchi inaongozwa na watoto wa walionacho!. Akina kabwela Tubaki kupiga mayowe kwa kudanganywa na maneno mazuri na matamu kwa kuitwa "watumishi wa umma". Angalia Hawa watoto wa walionacho wanavyoongezewa; Hussein Mwinyi, Fred Lowassa, Geofray Mizengo Pinda Ridhiwani Kikwete, Amina Abdallah Bulembo, January Makamba....................... .

Wanasiasa/ watawala mfumo wa bei unatuumiza huku mtaani wakati ninyi mpo kwenye mwendo wa magari ambayo yakishawashwa yamewashwa. Mafuta ya kula hayagusiki, nafaka hazigusiki Ila ninyi hamkumbwi na kadhia hizi kwa sababu mpo kimaslahi zaidi na hampo kwa ajili ya wananchi.

Ninyi wabunge waimba ngonjera dawa yenu ipo jikoni inasubiri 2025. Tupate wapi bunge lenye neno kama la hayati Samweli Sita, Tundulissu zungumza mwanangu Kama la Mama Anne Semamba Makinda!. Zungu anawakimbiza wabunge kama watoto wakati wa kuuliza maswali halafu wapo kimya tu - maswali ya SAA moja yanaulizwa ndani ya dakika 30 halafu wabunge wanapiga mapambio tu! Subirini anguko lenu 2025!.
 
Tatizo Jamii ishaoza ingawa kinachofanyika ni upigaji ila hata wewe mleta uzi mentality yako bado ila walakini....

Ifike wakati mtu ateuliwe au afanye kazi ili kazi ile iende vizuri na sio kufanya kazi / kupewa kazi ili aweze kufaidi / kulamba asali zaidi....

Matokeo yake ya kufuata maslahi na sio wito wa kutenda kazi na kutumikia wananchi ndio maana watu wanaacha profession zao na kuingia kwenye siasa, watu wanajitoa akili na kugeuka machawa (yaani doing anything to make a buck)..., Ndio maana nasema tatizo ni mentality yetu (wewe hujalaumu watu kupeana kazi ambazo hazina tija / hawaongezi tija) bali unasema hizo kazi apewe mwingine ili na yeye akalambe asali
 
Tuache haya ya Mabeyo na mtego wa Loliondo. Rudi kwa akina Anna Makinda, Pius Msekwa, Jaji Warioba na Wengine wengi.

Walikuwa wanasiasa wenye mafao bora kabisa ya Ubunge ambayo hupewa yote kwa mkupuo. Na wengine hupokea mafao bora kila mwezi yani asilimia 80 ya mshahara wa Waziri Mkuu au Spika aliye madarakani lkn bado hupewa teuzi zenye maslahi bora ili maisha yaendelee vizuri.

Sasa nashindwa kuelewa watu hawa wanawaza nini hadi kuamua kuchukua pensheni za watumwa wao wa chini kabisa kwa sheria za kikokotoo? Ipo siku mawe yatasema!

Huu ni unyonyaji
Umesahau kusema kwamba mpk sasa kima cha chini cha pensheni za wastaafu ni laki 1 tu. Na kiwango hiki ambacho ni sawa na USD. 40 kiliwekwa mwaka 2015 na aliyekuwa Waziri wa Fedha wakati huo Mh. Saada Mkuya. May god bless her.
 
Tuache haya ya Mabeyo na mtego wa Loliondo. Rudi kwa akina Anna Makinda, Pius Msekwa, Jaji Warioba na Wengine wengi.

Walikuwa wanasiasa wenye mafao bora kabisa ya Ubunge ambayo hupewa yote kwa mkupuo. Na wengine hupokea mafao bora kila mwezi yani asilimia 80 ya mshahara wa Waziri Mkuu au Spika aliye madarakani lkn bado hupewa teuzi zenye maslahi bora ili maisha yaendelee vizuri.

Sasa nashindwa kuelewa watu hawa wanawaza nini hadi kuamua kuchukua pensheni za watumwa wao wa chini kabisa kwa sheria za kikokotoo? Ipo siku mawe yatasema!

Huu ni unyonyaji
WENYE AKILI ZETU TUNADAI KATIBA MPYA ILA WAPUMBAVU WANABEZA
 
Back
Top Bottom