Kama kajipinda kisawa sawa na kapata 59 huyo ni hard learner hizo shule hazimfai, zinataka wanajua hawafundishi mtoto kujua
Kayumba akayumbe!
si kilaza as such ila alikuwa na tatizo muda wa maandaliziKama taifa na kama taasisi ni lazima tujifunze kujiwekea malengo na kuyafikia; mambo ya bora liende hayatatufikisha popote na kimsingi taifa limekwama kwa sababu ya bora liende.
Kama vipi mpeleke mwanao al-mujahideen seminary ambao kwao hata wastano wa 0 sio issue sio lazima ung'ang'anie zenye malengo wakati mwanao kilaza.
Nimekuelewa mkuu, ila inawaumiza watoto kisaikolojia. pengine inaweza kumboma badala ya kumjenga. Shule zinajengwa kwa msingi wa sifa ili ku attract wenye fedha lakini kwa bahati mbaya si wote wenye pesa wanazaa ma genius.
Agizo la kutokufikiria hilo, na shule binafsi wamelikataa!!Nakumbuka hivi karibuni limetolew agizo na Mheshimiwa Waziri Kassim Majaliwa, kuwa ni marufuku kwa shule binafsi kuwarudisha wanafunzi warudie darasa kwa kigezo cha kutofikia wastani wa ufaulu.
Sasa sielewi agizo hili ni kwa shule za msingi na sekondari za binafsi ama laah?