mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,400
- 3,853
Shule za binafsi huweka wastani wa alama za ufaulu ili mtoto aweze kuendelea na masomo. Shule moja hapa Dar imeweka wastani wa alama 61. sasa mtoto mmoja kapata wastani alama 59 tena kwa kujipinda hasa.
Lakini shule imemlazimisha kurudia kidato. mtoto kaumia hasa hana raha kabisa.
Hili tatizo lianaweza kutatuliwaje?
Lakini shule imemlazimisha kurudia kidato. mtoto kaumia hasa hana raha kabisa.
Hili tatizo lianaweza kutatuliwaje?