Wastani wa umri kwenye vikosi vya Simba na Yanga ni miaka mingapi?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Timu za wenzetu wastani wa umri wa wachezaji hujulikana, vipi wastani wa umri wa vikosi vya Simba na Yanga?
 
Timu za wenzetu wastani wa umri wa wachezaji hujulikana, vipi wastani wa umri wa vikosi vya Simba na Yanga?
Miaka ya Wachezaji wengi ni miaka ya mchongo ya kwenye passport tu.

Umri wa wachezaji wa Simba hauna tofauti na wa Yanga na wengine ni wakubwa.

Kwa akili unaamini Mutale ana miaka 22, yaani kazaliwa 2002????
 
Miaka ya Wachezaji wengi ni miaka ya mchongo ya kwenye passport tu.

Umri wa wachezaji wa Simba hauna tofauti na wa Yanga na wengine ni wakubwa.

Kwa akili unaamini Mutale ana miaka 22, yaani kazaliwa 2002????
Na ukimuangalia kichwani nywele za katikati zimebaki kama mchicha uliopandwa kiangazi ukakosa matunzo..
Yule hakuna hakuna atakua na thelathini na tano..
Utaona tu injury zitakavyo andamana pale umbumbumbuni ndio watajua wana vijana ama kundi la tasaf..
 
Yanga 30 Simba 12 kama waliongea ukweli kwenye usajili..
 
Watani mnapenda sana faraja za bei nafuu, endeleeni tu kujitekenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…