Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Timu za wenzetu wastani wa umri wa wachezaji hujulikana, vipi wastani wa umri wa vikosi vya Simba na Yanga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga 40, Simba 15Timu za wenzetu wastani wa umri wa wachezaji hujulikana, vipi wastani wa umri wa vikosi vya Simba na Yanga?
Simba 25 Yanga 34.Timu za wenzetu wastani wa umri wa wachezaji hujulikana, vipi wastani wa umri wa vikosi vya Simba na Yanga?
Miaka ya Wachezaji wengi ni miaka ya mchongo ya kwenye passport tu.Timu za wenzetu wastani wa umri wa wachezaji hujulikana, vipi wastani wa umri wa vikosi vya Simba na Yanga?
Na ukimuangalia kichwani nywele za katikati zimebaki kama mchicha uliopandwa kiangazi ukakosa matunzo..Miaka ya Wachezaji wengi ni miaka ya mchongo ya kwenye passport tu.
Umri wa wachezaji wa Simba hauna tofauti na wa Yanga na wengine ni wakubwa.
Kwa akili unaamini Mutale ana miaka 22, yaani kazaliwa 2002????
Yeye ni Gen zMzize nimesoma nae primary sasa mimi nina 38
Unaamini hivyoYeye ni Gen z
Nani wa kumwamini mtzUnaamini hivyo
Niliwahi kulopoka kua mzinze anatinga kwenye30 na kitu anaisaka40 nkataka kutandikwa makofiMzize nimesoma nae primary sasa mimi nina 38
Mzize kamaliza form four 2013Niliwahi kulopoka kua mzinze anatinga kwenye30 na kitu anaisaka40 nkataka kutandikwa makofi