Urio kimiroI
Senior Member
- Jan 2, 2016
- 146
- 74
Juzi kati mitandao ya kijamii na kwenye ukurasa wake wa Facebook, Wastara alipost kuwa nyumba zake mbili zinavunjwa, leo amepata mume kutoka CCM, Sadifa Juma ambaye ni Mwenyekiti wa UVCCM - Taifa na pia ni Mbunge wa jimbo la Donge, Zanzibar.