Wastara afunga ndoa na Mbunge wa Donge (Zanzibar), Sadifa Khamis

Wastara afunga ndoa na Mbunge wa Donge (Zanzibar), Sadifa Khamis

Bond mbona analialia? Kwani ye alijipangaje .tehe tehe tehe
 
Hivi ni jinsi gani naweza kuziona hizi picha?
Yaani hizo buku Saba Saba unazozipata hapo Lumumba hazijatosha tuu kununulia simu ya maana badala ya huyo mchina ulienae hapo?na nashangaa unaulizia kuona picha,kwani wewe haukwenda kwenye harusi ya huyo Bosi wako?
 
japo sio vizuri kuombeana mabaya,but nasema huwenda wewe unayembeza huyo dada,pengine na we siku moja utafiwa na mke/ mume alafu tuone kama hutaoa/kuolewa,

ulitaka amuenzi Sajuki kwa kuzini badala ya kuolewa? je amuenzi sajuki kwa kutoolewa au aienzi dini yake kwa kuolewa? ujinga huoooooo
 
Mbona huyu Jamaa ni mchicha mwiba! Nasikia wenzake wana mponea kiaina.
 
Kumbe lile UNO alilokuwa analikata halikwenda bure?
Kweli ndani ya CCM kuna 'faraja'!
Ubuyu mwingine huu wa mjini,ila hyo ndoa itasaidia kudumisha Muungano,Wastara ni Mtanganyika Jamaa ni mvisiwan
 
japo sio vizuri kuombeana mabaya,but nasema huwenda wewe unayembeza huyo dada,pengine na we siku moja utafiwa na mke/ mume alafu tuone kama hutaoa/kuolewa,

ulitaka amuenzi Sajuki kwa kuzini badala ya kuolewa? je amuenzi sajuki kwa kutoolewa au aienzi dini yake kwa kuolewa? ujinga huoooooo
Kuolewa jambo jema ila pia kujichetua hadharan si maamrisho ya Dini
 
Back
Top Bottom