Urio kimiroI
Senior Member
- Jan 2, 2016
- 146
- 74
juzi kati mitandao ya kijamii na kwenye ukarasa wake wa fecebook Wastara alipost kuwa nyumbazake mbili zinavunjwa leo amepata mmeo kutoka ccm Sadifa Juma mwkt wa uvccm taifa
Shigongo ameharibu kizazi hiki!Unajua sijaelewa......
Kichwa cha habari kinasema.......mama Sajuki apata faraja ndani ya ccm......kiwiliwili kinasema mambo mengine.......sasa tueleweje........?......
Kwanini bwana Master planSadifa si anamtindio wa ubongo au!?
Nilitaka jibu hapa mkuu na sio swali tena. Halafu kijiji kinasema jamaa muinamo?Kwanini bwana Master plan
Unajua sijaelewa......
Kichwa cha habari kinasema.......mama Sajuki apata faraja ndani ya ccm......kiwiliwili kinasema mambo mengine.......sasa tueleweje........?......
..sheria zote ni wanapitisha ccm.kama gesBomoa bomoa siyo ya CCM, kwani sheria ilipitishwa na wabunge ambao wengine leo wapo huko upinzani. Sheria hizi zipitishwa kwa manufaa ya watanzani wote na vizazi vijavyo. Wastara kalielewa hilo.
Ina maana, kapata faraja kwa kuolewa leo ña mbunge wa CCM
Kumbe lile UNO alilokuwa analikata halikwenda bure?
Kweli ndani ya CCM kuna 'faraja'!
Mmh nimeipenda Surprise yake,
Amekua mke wa nne.
Hehehehe hapo nampa pongezi mara dufu.
Duh kumbe kampeni imelipa
Mweh wanawake mna mioyo....wa nne????
Whaaaat?Kwahiyo anaenda kusubiria zamu?Mmh nimeipenda Surprise yake,
Amekua mke wa nne.
Hehehehe hapo nampa pongezi mara dufu.
Whaaaat?Kwahiyo anaenda kusubiria zamu?
Whaaaat?Kwahiyo anaenda kusubiria zamu?