Wastara alizwa mamilioni ya pesa na wachina

Zimeshapigwa hizo,hivi wachina na waNigeria nani tapeli zaidi,maana niliwahi kusikia waNigeria nao ni hatari kwenye hizo nyanja.?
 
Eti anahitaji msaada wa serikali.Kwani wakati wanakubaliana aliihusisha serikali?
 
Ni kama mil 84 mh... bongo movie inalipa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
HIVI WE WASTARA ULIPWE KABISA MILIONI 400 KWA MWAKA !

ahhahahahahhaa ni hizo picha za kifua wazi za bondi au kitu gani?
VITU VINGINE MUWAGE MNAJIULIZA!

sa na we kweli ukaona milioni 400 ,ukapiga mahesabu ukaona uweke zako 84!
AHHHHHAHAHAHHAHA ILA BONGO SIHAMI!
ACHA TU NIKOMAE NA FOLENI NA BEI YA UNGA!
ILA SIHAMI!
 
Apewe Mil. 400 kwa mwaka Wastara? vitu vingine tuwe tunajiongeza jamani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…