Wastara anamiliki hii hummer?

hii ndio habari mpya
nasubiri

Siku izi shoga yake wema sepetu, kashafulia na yeye, kaamua kuji frontisha kwa madame, naona siku izi wanafanya movie wote.sijasikia safari za Dubai siku nyingi , ngoja nifuatilie.
 
maisha mlima asee
Siku izi shoga yake wema sepetu, kashafulia na yeye, kaamua kuji frontisha kwa madame, naona siku izi wanafanya movie wote.sijasikia safari za Dubai siku nyingi , ngoja nifuatilie.
 
Hehee haya pesa ni zile zile movie ama............

itakuwa ya yule billionaire aliokuwa anamtafuta, si kuna kipindi alisema sasa ivi anataka billionaire wa kumtunza, naona maombi yamejibu
 
Yupoje binamu?

wakati kaolewa alitulia tulia akachana na mambo ya magazetini mavazi yakabadilika
ila siku hizi karudia vivazi vyake, full kuzurura na wema
mara yupo kwenye show hiyo ndoa ipo kweli????
 
wakati kaolewa alitulia tulia akachana na mambo ya magazetini mavazi yakabadilika
ila siku hizi karudia vivazi vyake, full kuzurura na wema
mara yupo kwenye show hiyo ndoa ipo kweli????

Usikite kashapigwa ban na mumewe maana siku hizi hana nyimbo tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…