King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hongera sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari tupu alafu hapo mlemavuKuna wadada wana nyota sana mfano huyu dada na zari the boss lakin kuna wadada wengine wana mikosi inabidi wakaoge dawa za kisukuma zinaitwa sambaa mfano wema sepetu na johar
Nyota ya kuachwa na kuolewa au nyota ya kushindwa maisha ya ndoa?Watu wana nyota, wengine wanakesha huku kutafuta wachumba
Inaruhusiwa baada ya kufuturu broMwezi mtukufu huu, hiyo ndoa imefungwaje?
Swali moja majibu mia!Ndiyo kwahiyo unataka aolewe mwezi gan? Je kama huyo mwanaume akigair utamuoa wewe
Ndio ameolewa na haka kamkaka sijui kaigizaji akitoka huyu anaolewa na hamorapa
Unataka akufwe na mautamu yake sio![emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji11]hii Kali hii hata km ndoa ni faradhi...!!Wastara angejiuguza kwanza!
Pesa za matibabu anachangiwa mume atamuweza kaa!!!
Yaan anaolewa na wanaume tofauti tofauti,,atakuwa analinganisha humo ndani anaona kila mme hafai,,watu mpaka wanachoka kudhuria harusi za hivyo sema harusi za kiislam fasta tu na ubwabwa kiasi[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji11]hii Kali hii hata km ndoa ni faradhi...!!Wastara angejiuguza kwanza!
Pesa za matibabu anachangiwa mume atamuweza kaa!!!
Ahahahahaha anafanya utafiti wallahWastara atakuwa ana fanya utafiti wa PhD kwenye masuala ya ndoa
Siyo bure aki
Hapo kidogo nimepata picha ilivyo!Ana burger [emoji23][emoji119]
Pesa za matibabu baba jeska yupo atamtuma kijana wake ngusa samike[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji11]hii Kali hii hata km ndoa ni faradhi...!!Wastara angejiuguza kwanza!
Pesa za matibabu anachangiwa mume atamuweza kaa!!!
Ukumbuke hajalemaa pale pahala pako fitiHatari tupu alafu hapo mlemavu
Ndio ameolewa na haka kamkaka sijui kaigizaji akitoka huyu anaolewa na hamorapa