Wastara aolewa kwa mara ya saba

Wastara aolewa kwa mara ya saba

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmmh ni weweeee aiseee si huwa mnalilia ndoa kwa nanilii so ya wastara sijaona tatizo dini inaruhusu bana
Sijawah lilia ndoa mimi
Wala sina haraka na ndoa tena zingine huwa nazikataa,mimi siki nikiolewa ni kimojaa siachiki,,
Sasa wastara kila siku kuolewa jamani hata aibu haoni
 
Amani iwe nanyi wapendwa,

Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.

Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu kaolewa na bwana Rashid.

Wadada wengine wapo tu hawana hata bahati ya kuoelewa mfano Wema Sepetu wakati wengine ndo kama hivyo wanaolewa hadi mara saba.

LONDON BOY
Ananyota ya kuolewa na kuachika
 
Amani iwe nanyi wapendwa,

Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.

Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu kaolewa na bwana Rashid.

Wadada wengine wapo tu hawana hata bahati ya kuoelewa mfano Wema Sepetu wakati wengine ndo kama hivyo wanaolewa hadi mara saba.

LONDON BOY
Ananyota ya kuolewa na kuachika
 
Amani iwe nanyi wapendwa,

Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.

Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu kaolewa na bwana Rashid.

Wadada wengine wapo tu hawana hata bahati ya kuoelewa mfano Wema Sepetu wakati wengine ndo kama hivyo wanaolewa hadi mara saba.

LONDON BOY
Ananyota ya kuolewa na kuachika
 
Back
Top Bottom