Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Duh [emoji15] mara 7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo katoka kusaliAhahaaaaa mama sabrina mambo?
Iv baba sabrina yupo shemu wangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ahahahahaha anafanya utafiti wallah
Wadada wenye mikos wakaoge tu madawa ya kisukuma watapata waume au kama vp waonane na jitu chawi mshana jr atawasaidia, maana haiwekani mtu anaolewa had mara saba wakati wengine hata mara moja bado hawajapata
[emoji23][emoji23][emoji23] aiseeUkumbuke hajalemaa pale pahala pako fiti
Sijawah lilia ndoa mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmmh ni weweeee aiseee si huwa mnalilia ndoa kwa nanilii so ya wastara sijaona tatizo dini inaruhusu bana
[emoji40][emoji40][emoji40]Mkuu papuch yake haina ulemavu wowote kwahiyo chunga sana kauli yako
Aisee! Hii comment imenichekesha mpaka jamaa zangu hapa wananishanga kinachonichekesha!Wastara atakuwa ana fanya utafiti wa PhD kwenye masuala ya ndoa
Siyo bure aki
Eeeeenh ndugu, kama panapenyezeka kuna tatizo teenah!?[emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Watakwambia ana nyota [emoji16][emoji13][emoji13][emoji13][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji11]hii Kali hii hata km ndoa ni faradhi...!!Wastara angejiuguza kwanza!
Pesa za matibabu anachangiwa mume atamuweza kaa!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee! Hii comment imenichekesha mpaka jamaa zangu hapa wananishanga kinachonichekesha!
Kuolewa ni aibu Mama Sabrina!?Sijawah lilia ndoa mimi
Wala sina haraka na ndoa tena zingine huwa nazikataa,mimi siki nikiolewa ni kimojaa siachiki,,
Sasa wastara kila siku kuolewa jamani hata aibu haoni
Utafikiri mashindano ya kuvaa shelaDida sijui kapumzika au maana ndoa aliziweza kweli kila mwaka anaibuka na shela mpya
Ananyota ya kuolewa na kuachikaAmani iwe nanyi wapendwa,
Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.
Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu kaolewa na bwana Rashid.
Wadada wengine wapo tu hawana hata bahati ya kuoelewa mfano Wema Sepetu wakati wengine ndo kama hivyo wanaolewa hadi mara saba.
LONDON BOY
Ananyota ya kuolewa na kuachikaAmani iwe nanyi wapendwa,
Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.
Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu kaolewa na bwana Rashid.
Wadada wengine wapo tu hawana hata bahati ya kuoelewa mfano Wema Sepetu wakati wengine ndo kama hivyo wanaolewa hadi mara saba.
LONDON BOY
Ananyota ya kuolewa na kuachikaAmani iwe nanyi wapendwa,
Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.
Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu kaolewa na bwana Rashid.
Wadada wengine wapo tu hawana hata bahati ya kuoelewa mfano Wema Sepetu wakati wengine ndo kama hivyo wanaolewa hadi mara saba.
LONDON BOY