Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana nyota[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Watakwambia ana nyota [emoji16][emoji13][emoji13][emoji13]
Nyotaa wapii...!!anajitoa fahamu tu![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Watakwambia ana nyota [emoji16][emoji13][emoji13][emoji13]
Eeee ila hii sibadilishi tena ,siku ukienda shule ukirudi utaikuta hii hii shemeji yanguAlafu hiyo avatar yako mda mwingine nakuwa nakusahau toka nitoke shule nilikuta ile nyingine umebadilisha
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]Wastara atakuwa ana fanya utafiti wa PhD kwenye masuala ya ndoa
Siyo bure aki
Hatari ila yataka moyo [emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23]Ana nyota
Kuna watu ndoa moja wanaitafuta kwa tochi
Huyu sista anangia na kutoka vile anataka
AhahahahahahahahahZari ana nyota ya kuzalishwa ya kuolewa hana.
Sawa nishamuambiaa hua ananiulizia kama ushatoka shuleMpe hai mwambie lingosha linakusalimia
Duh! Yaani Numbisa sikuchoki!siyo kwa umbea huo!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hatari ila yataka moyo [emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]yaani kweli ndoa sio kitu cha mchezo mchezo!Zari ana nyota ya kuzalishwa ya kuolewa hana.
Nikimbuke kwenye pilau tuuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] na usisahau kuleta mrejesho itapo vunjika[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Akiachwa ntajaribu kumuoa nijue wenzangu wanakimbilia nini
Yaan ice unanivunja mbavu nimeshiba sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Akiachwa ntajaribu kumuoa nijue wenzangu wanakimbilia nini
Hahah! Hakuna tatizo mkuuEeeeenh ndugu, kama panapenyezeka kuna tatizo teenah!?[emoji23] [emoji23]