Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyota ya kuolewa mara nyingi? Hao waume zake wa awali walienda wapi hadi aolewe tena na tena? Huo nao ni Mkosi tu! Usijeshangaa Wema Sepetu Akaja kuolewa mara moja tu na akadumu kwenye ndoa yake na ikawa ya kufa na kuzikana!Kuna wadada wana nyota sana mfano huyu dada na zari the boss lakin kuna wadada wengine wana mikosi inabidi wakaoge dawa za kisukuma zinaitwa sambaa mfano wema sepetu na johar
Kuolewa kila siku na kuachika ni kama fedheha tuKuolewa ni aibu Mama Sabrina!?
HahahahaaaaaaaaHahah! Hakuna tatizo mkuu
Nashangaa maajabu ya wastaraVp kwan mrembo
Inakuwa kama punching bag vile- wa kujifunziaKuolewa kila siku na kuachika ni kama fedheha tu
Siku ice kapunguza kuna kipindi zari alibeba mimba ya nillan akasema "sasa inabidi serikali iingilie kati maana keshageuzwa incubator " mengine sikumbuki aiseee nilicheka siku nzimaaaaAisee! Hii comment imenichekesha mpaka jamaa zangu hapa wananishanga kinachonichekesha!
[emoji23][emoji23] unataka kutest mitambo?Hahahahaaaaaaaa
Wacha nianze kujisogeza nikajiulze wanaomuoa na kuachana nae huwa wanakwama nini
EeeeeInakuwa kama punching bag vile- wa kujifunzia
Hahahaaa[emoji23][emoji23] unataka kutest mitambo?
Ni aina ya dawa?Waloogeshewa mndoa ndoa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Eeeee