Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya usome ufauru usituangushe wanajfNdio shem
Namfananisha na dada mmoja hivi kitaan ana watoto watano lakin kila kila mtoto na baba yake
Hahahahaaa dada numbisa bhana yaan ana watoto wawili afu bado ni binti mbichi kweli mmhhhhhNishaaga bana hapa, maana kuna mwingine anaelekea huko saiv ana wawili baba tofauti na bado wanasema binti mbichiiiiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasubiria afikishe tatu mzuka
OhoooMimi ndio unaniacha badala umuache Numbisa huwa ananichokoza
HahahahaahahahahAma kwa hakika papuchi haina MAKOMBO
Unacheka!!!!Hahahahaahahahah
Mwambie mi ni dada yako anichee etii lasivyo tutamgayaaOhooo
Huwa nakuchokoza tena!! Mweeh!
Tutakununulia kekiNitapasua ni hatar
Kuna alofariki sajukiIla sasa tujiulize wanaume wanafuata nn kwake? Na kwa nn ndoa zenyewe hazidumu?
PossiblyKuna alofariki sajuki
Ila kama ndoa ilopita alijitoa mwenyewe inaonekana kuna vigezo ana vitafuta aspo ona na sepa
Sajuki alitoa pesa ya matibabu alivyofika huko akaomba tena pesa anunue mzigoo wa kuja kuuza ,sajuki akakasirika hakuona risiti za matibabuKuna alofariki sajuki
Ila kama ndoa ilopita alijitoa mwenyewe inaonekana kuna vigezo ana vitafuta aspo ona na sepa