Wastara aolewa kwa mara ya saba

Wastara aolewa kwa mara ya saba

Aaah kama kwa royal wedding tu shost acha kuchanganya mchuzi wa nyama na mafuta ya alizeti itaharibika sio sajuki ni sadifa mbunge
Sajuki alitoa pesa ya matibabu alivyofika huko akaomba tena pesa anunue mzigoo wa kuja kuuza ,sajuki akakasirika hakuona risiti za matibabu
 
Aaah kama kwa royal wedding tu shost acha kuchanganya mchuzi wa nyama na mafuta ya alizeti itaharibika sio sajuki ni sadifa mbunge
Haahahahahahahahah nishasahau jamani ni sadifa unajua natype huku naangalia movie acha tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom