Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni air bone mkuu ukipumua tu unaoMange nae katoa maelezo kijana mdananda kamtelezeshea nyoka pangoni bidada,na kijana mdananda kama nilimwona kwenye list tata ililetwa humu?
Ameachika mara ngapi?Mwanamke bora katika wanawake wote wa tanzania unakuta mipopo mengn kutwa insta kuuza nyango na kuvunja ndoa za watu lkn MashaAllah wastara ni mlemavu lakini ni almas ana nyota ya zuhura
We kaka umebadili I'd etii!!Wastara atakuwa ana fanya utafiti wa PhD kwenye masuala ya ndoa
Siyo bure aki
Duh....wanamchezea sana jamani. Mi sioni ndoa hapo jamani. Sana sana hii inanikumbusha hadithi ya kwenye Biblia. ....Ameolewa na wanaume 7, sasa siku ya ufufuo atakuwa mke wa nani?Amani iwe nanyi wapendwa,
Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.
Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu kaolewa na bwana Rashid.
Wadada wengine wapo tu hawana hata bahati ya kuoelewa mfano Wema Sepetu wakati wengine ndo kama hivyo wanaolewa hadi mara saba.
LONDON BOY
Kwenye hii sekta upo vizuri sana hongera kama zote yaani
Kwenye hii sekta upo vizuri sana hongera kama zote yaani
Hivi huyu mange albadil ya shehe imeanza kumkuta au vipi ....mbona mambo ya ajabu haya
Nipo kijijini network naivizia vizia ila kwa ubuyu huu ntapambana hivyo hivyo daaahHahaha asante, mbele za ubuyu,mambo ni moto
Kwa nn nao wanamjibu?Hivi huyu mange albadil ya shehe imeanza kumkuta au vipi ....mbona mambo ya ajabu haya
Kuna vitu havivumiliki japo kukaa kimya ni busara piaKwa nn nao wanamjibu?