FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,567
- 4,683
Labda mihela ilimponya fasta, hakuhitaji tena tiba za Wahindi.Alikaa hospitali siku tano na baada ya hapo Alienda Oman mwezi mzima akipost products za MARC kwa wateja na kuwaambia anashusha mzigo wa nguvu.
Insta inaumbua sana