Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatapeli kwa mgongo wa maradhi, ila hajiulizi ni wangapi anawaona wana dhiki zaidi yake? Naskia utapeli ndo ulimtoa kwa mumewe mbunge
Mange kamweka waziAnatapeli kwa mgongo wa maradhi, ila hajiulizi ni wangapi anawaona wana dhiki zaidi yake? Naskia utapeli ndo ulimtoa kwa mumewe mbunge
Tatizo lenu mnamfanya Mange kimambi kama source yenu kuuYeye kwann atangulize maradhi kwa watz wanamchangia kwenda hospital ye anarudi kabebelea biashara.....ana utapeli
Ebu tupe hiyo interviewKuna day moja alihojiwa kuhusu mapenzi alisema hawezi kuishi bila kuwa na mwanaume kifupi alisema anapenda sana kufanya mapenzi hata akiwa single but usiku lazima alale na mwanaume piga uwa labda awe siku zake huyu bidada anapepo la ngono
Yaan maisha alonayo anaona hayamtoshi anatafuta huruma kwa watz wamchangie aongeze biashara..
Hiyo hela ya kuchangiwa unakaa knayo bila hata kujistukia na kufanya nayo matanuziYaan maisha alonayo anaona hayamtoshi anatafuta huruma kwa watz wamchangie aongeze biashara..
Kwahyo kiufupi haumwi ?Yaan maisha alonayo anaona hayamtoshi anatafuta huruma kwa watz wamchangie aongeze biashara..
Hata akiumwa, yule hana maradhi ya kujitangaza kila siku kwa media ahurumiwe, kwa mfano ule mguu alochangiwa akabadili sjui nchi gani mil40 ni wangapi wananunulia hapahapa tz na wanatembea, yeye ana nn hadi aombe mchango
Nilimwona kati juzi alikuwa anahojiwa dizzim tv alikuwa analia kwa uchungu hadi nikahamisha channel coz nina huruma
Ingia youtube tafuta leotena na wastara clouds, alisema wazi kabisa bila kufanywa hajisikii kabisa na akitiwa vizurii anamtunza huyo mwanauneEbu tupe hiyo interview