Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Tule tuwema tushasoma namba,Sasa ni huyu.Wataisoma wengi sana.Na vile walikuwa wanakaangwa kwenye jua watanyookaWabomoe tu… no way out… awe ccm awe ukawa kama amejenga eneo lisilostahiki ibomolewe tu
Hahahahaaa watu hamna huruma jamani?Presha ikishuka utaendelea kuisoma namba
Shida sio kuwa CCM wala kuwa sijui chama gani. Hapa tunasimamia sheria tu.Tule tuwema tushasoma namba,Sasa ni huyu.Wataisoma wengi sana.Na vile walikuwa wanakaangwa kwenye jua watanyooka
Kuna ujumbe aliuandika Instagram kuelezea changamoto alizokutana nazo wakati anamuuguza marehemu mmewe da Inasikitisha Sana baada ya siku mbili tena akaandika nyumba zake mbili zimewekwa X ,Naogopa kusema chochote maana tutazidi kumuondolea furaha ambayo amesema amaikosa tangia 2011 mmewe alipoanza kuumwa,Nami nampa pole aende Lumumba watamsaidia.
Aliinadi ilani ya HapaKaziTu sasa tunamshangaa kazi inafanyika kwake analialia😕kwani alijipangaje???Mbona wastara huwa ana majanga xana? hlf sielew watu mnachofurahia kwenye hii thread ni nini, matatizo yapo kwa kila mtu, wastara mbona sio bitch na mwenye show off feki kama akina wema?? lkn bado mnamsema vibaya tu
Sasa ukitaka kujua sheria zipo kwa ajili ya watu masikini.Subiri kasiri ya Mchungaji Rwakatare ibomolewe.Utasubiri mpaka yesu arudi.Ila hii ya huyu bongo movie na makabwela wengine.Hata ije mahakama lazima zipigwe chini.Ccm ni ileile tu.Ya majizi na matajiriShida sio kuwa CCM wala kuwa sijui chama gani. Hapa tunasimamia sheria tu.
Msanii wa bongo movie ameomba watanzania tumuombee, kwani ameanza mwaka vibaya baada ya nyumba zake mbili kuwekwa x na kuwa hatarini kubomolewa.View attachment 315200View attachment 315201View attachment 315202
#Hapa kazi tu
#Hatunywi sumu wala hatunyongi
#Mtaisoma namba
#CCM mbele kwa mbele.
Hahahahaha mkuuu unanikumbusha mengi duuuu huuu wimbo nilikuwa siupendi ila kwa sasa nimeanza kuupenda acha uimbwe tu ni zamu yangu kuuimbaHatujinyongii,,hatunywi sumuuuu ccm mbele kwambelee
Nyodo, Maringo, Dhihaka na Kejeli za kutosha alizokuwa akizifanya Mitandaoni na Majukwaani ili kuisifia CCM huku akiwabeza wanyonge wa UKAWA ambao walikuwa wakiitwa Malofa, Wajinga na Wapumbavu, ndio zimeleta yote haya.Watu mna roho mbaya sana! Mnafurahia matatizo ya watu?!? Mungu awasamehe hamjui mlifanyalo!
Teh...teh...teh...hiyo inaitwa kuku kala mchele jioni kaliwa na wali...